Hii trend (wanawake kuwa Juu) inatishia mstakabali wa Jamii yetu hapa Dar/TZ!

'the weak are oppressing the stronger' ....I guess bahari imegeukia upande wetu sasa! WAKATI UKUTA... fikra zimeamka, the giant within is out!...
 
Eish! Asa kama wanawake wanakuja juu...mimi mwanaume inanihusu kivipi...kama mimi nina ela zangu na maisha yangu..nayo enjoy....., hao wanawake wakiwa juu inani affect vipi....

Hahahah Mada nyingine bana... mtoa mada...its obvious we ni mwanafunzi...soma..fanya kazi kwa bidii ...jitume, achana na kuleta vita ya jinsia., sikuwaza kama kuna mtu anaweza kuumizwa kichwa na ishu kama hii. hahahah
 
Hli jambo sio maofisin tu hatu shulen pia ukifuatilia vizuri utaona kwamba wasichana wanaendelea kufanya vizuri kwa sasa
 
Nafikiri uko nje ya Mada samahani labda sijakuelewa ulichomaanisha lkn hapa naongelea matokeo na siyo chanzo, hivyo iwe wanapata kwa chupi au ala lkn ukweli ni kwamba hizo kazi zinazolipa vizuri wao (wanawake) ndiyo wanazipata na hivyo kuwapa kipato kikubwa klk Wanaume hali inayopelekea wao pmj na Wanaume kuwa na wkt mgumu kupata mwenza ndicho nilichomaanisha!
Ni kwa sababu wanaune hawa wekwi pale customer care au Front office Tangazo likitoka linasema kabisa tunahitaj mdada aged flan mpaka flan kwa ajila ya customer care au team ya mauzo
 
Eish! Asa kama wanawake wanakuja juu...mimi mwanaume inanihusu kivipi...kama mimi nina ela zangu na maisha yangu..nayo enjoy....., hao wanawake wakiwa juu inani affect vipi....

Hahahah Mada nyingine bana... mtoa mada...its obvious we ni mwanafunzi...soma..fanya kazi kwa bidii ...jitume, achana na kuleta vita ya jinsia., sikuwaza kama kuna mtu anaweza kuumizwa kichwa na ishu kama hii. hahahah
Ndo maana hatuendelei kwa misimamo kama yako ya ubinafsi....

Fikiria kizazi chako kijacho ndo kitakuwa victim maana kama hutoamka Leo wao ndo watalala...
 
Eish! Asa kama wanawake wanakuja juu...mimi mwanaume inanihusu kivipi...kama mimi nina ela zangu na maisha yangu..nayo enjoy....., hao wanawake wakiwa juu inani affect vipi....

Hahahah Mada nyingine bana... mtoa mada...its obvious we ni mwanafunzi...soma..fanya kazi kwa bidii ...jitume, achana na kuleta vita ya jinsia., sikuwaza kama kuna mtu anaweza kuumizwa kichwa na ishu kama hii. hahahah


Naongelea bigger picture na siyo maisha ya Juma au Mwajuma bali naongelea mstakabali wa jamii yetu kwa ujumla wake kwamba kama Wanawake au Wanaume wanashindwa kupata wenza athari zake kwa jamii ni kubwa huko mbele na siyo kama Mtz xyz ana uwezo wa kupata Mwanammke au Mwanaume yoyote yule wkt wowote ule atakapo!
 
Nimejaribu kufanya utafiti wangu binafsi na nimegundua kwamba sasa hivi TZ na hasa mji wetu wa Dar na kwingineko, Wanawake wako mbele sana kimaendelo klk Wanaume, hapa siongelei namba kiujumla bali naongelea trend, kazi nyingi zinazolipa vizuri leo hii hapa Dar wadada ndiyo wanazipata, jaribu tu kutembelea ofisi ambazo zinalipa vizuri kuanzia mabenki, Kampuni za Simu au hata NGO's utaona wadada kwa kweli ni wengi sana!

Sasa hii ni hatari kwa ustawi wa jamii yetu, tayari kuna vijana wengi leo hii wanalalamika hawapati wenza, yaani imekuwa ngumu sana kwa maana ikumbukwe kwamba Wanawake siku zote na hii ni Dunia nzima huchagua Mwanaume ambaye labda yuko naye sawa au ambaye yuko juu yake hasa kwenye kipato, Elimu n.k na jinsi mambo yanavyoonekna huko mbele hali itakuwa ngumu zaidi kwani ukienda vyuoni Wasichana ni wengi zaidi wanaosoma klk Wanaume hivyo tunahatari ya kuwa jamii ambayo Wanawake wana uwezo klk wanaume na hivyo hii kuathiri jamii yetu, nini kifanyike?
Ni swali gumu sana kwa maana siyo kosa la Wanawake hali kuwa hivyo kwani ni juhudi zao wenyewe na sasa wanakaribia kushika usukani wa nchi!
Sina jibu lkn ukweli ndiyo huwo!

Fanyeni kazi kwa bidii pia ili kuwa na uchumi juu yao Zaidi,
 
usishindane na mwanamke hizo elimu wengine wanapata kichupi chupi na kazi anapata kichupi chupi

hata wewe waweza kugeuzwa kama unafikiri chanzo cha maendeleo ya wanawake sio uwezo ni kuingiliwa. Tumia akili kujenga hoja sometimes ukijua this is a media
 
.
Nafikiri uko nje ya Mada samahani labda sijakuelewa ulichomaanisha lkn hapa naongelea matokeo na siyo chanzo, hivyo iwe wanapata kwa chupi au ala lkn ukweli ni kwamba hizo kazi zinazolipa vizuri wao (wanawake) ndiyo wanazipata na hivyo kuwapa kipato kikubwa klk Wanaume hali inayopelekea wao pmj na Wanaume kuwa na wkt mgumu kupata mwenza ndicho nilichomaanisha!
kwa njia hiyo hiyo waliopata ndio inatoa picha ya jamii ipi hao WAMAMA wanaenda kutuzalia/kutuletea
 
Ukiongea na wadada wengi sasa hivi, atakwambia ndoa hazina maana muhimu tafuta maisha yako, ili hata ukiolewa mwanaume hawezi kukunyanyasa, na hata akikufukuza atakuwa na pakwenda.

Kwa maana nyingine wadada wengi wanaona kwamba wanaume hutumia uwezo wa kiuchumi kama slaha ya kuwanyanyasa.. Sasa ili kwenda sawa wanaona wakomae kutafuta maisha, na hii imewafanya wengi wao akipata fursa kidogo atahakikisha anachomoka.....

Wanaume tusipijipanga watatuzidi kila kitu na huenda wakaanza kuoa badala ya kuolewa...
 
Tatizo la tanzania ukweli mara nyingi hausemwi halafu mwisho wa siku tunatumbukia shimoni, sio kweli kwamba wanawake wengi wamefika hapo eti kwa kuwa ni mahard worker, refer viti maalum ukawa vs ccm utajua kwanini anasema hivyo. Kinachowafikisha huko wanacho kwenye miili yao ndio maana wale wachache ambao ni wagumu kuachia utawakuta bado maisha yao ni magumu kuanzia shule mpaka kazini.
Kingine ni hizi issue za gender ambazo hutoa sana favor kwa akina mama na kuwaacha wanaume wakipambana maana hata ukiwekwa mchakato mahali utakuta mwanamke anawezeshwa kwa maana ya kurahisishiwa na akiwa mzuri kiumbo na sura ndio kabisaaa mambo huzidi kuwa rahisi.

Kuna haja ya wanaume kudai haki sawa sasa na sio kila mahali tunajaribu kifavor akina mama maana tuendako tutafail tu..
 
Back
Top Bottom