jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,034
- 28,201
Naona makampuni ya simu yanaandika makato ya kampuni na kuyatenganisha na tozo ya Setikali lengo ikiwa ni kuonesha makato yameongezwa na tozo ya serikali.
Sasa tujiulize je haya makato ya sh lets 350 unapotuma elfu 10 yanayoenda kampuni ya simu ni justifiable???
kwa nini 350 na sio 100?
Tunarudi kwenu makampuni ya simu.
Sasa tujiulize je haya makato ya sh lets 350 unapotuma elfu 10 yanayoenda kampuni ya simu ni justifiable???
kwa nini 350 na sio 100?
Tunarudi kwenu makampuni ya simu.