Kwa kujikomba huku lazima sasa utaukwaa ukurugenzi hata wa kaweDuh...!.
Watu kwa ku connect the dots Bwana!.
Tarehe nyingi za kustaafu rasmi ni 30th June. Hivyo wengi wamefikia muda wa kustaafu, sasa unataka rais Magufuli aogope kuteua wengine kwa sababu ni mwaka wa uchaguzi?.
Kama issue ni wapinzani kurejesha majimbo, trends zinaelekeza wapinzani wengi watarejesha majimbo for non delivery, most have done nothing!, mfano jimbo langu la Kawe, Mbunge wetu did nothing this time hivyo, wasipombadilisha, sisi wana Kawe, tunampumzisha, na ikibidi kulirejesha jimbo CCM, tunalirejesha.
P