Bwana Fulani
JF-Expert Member
- Mar 25, 2019
- 625
- 3,167
JerryRigEverythingGlass is glass, and glass breaks!
JerryRigEverythingGlass is glass, and glass breaks!
Hahaha asante mkuu!JerryRigEverything
Naam mimi hawaniimbishi kirahisi
Habari za hapa,
Jana nilikuwa Mororogo Mjini nikapita mahali nikaona kijana moja akielezea teknolojia mpya ya kulinda kioo cha simu ya Ceremic Liquid na nyingine ya protector fulan hivi ngumu.
Hii teknolojia ya ceremic anatumia vimiminika fulani hivi vya aina kama 4 alafu anaweka simu kwenye ki mashine kama picha inavyo onyesha na baada ya dakika 10 inakuwa tayari hapo anajaribu ikitoboa na hiyo drili mashina na simu haitoboki wala kuchubuka pia hata misumari na vitu vyenye ncha havichubui.
Ya pili baada ya Ceremic anaweka hiyo Protector ngumu (extreme lamination)na kioo kinakuwa strong kiasi kwamba anapigilia msumari kwenye hicho kibao na simu kabisa kwa upande wa kioo.
Sasa niliangalia nikiwa na maswali hii ni salama kwa simu kweli ? Baadae haitaleta madhara kama kuondoa sensitivity ya kioo ? Na nilimuuliza inaweza toka akasema hapana labda utoe kioo chote!
Naamini hapa kuna wataalamu walisha iona hata kuijua vyema wanaweza elezea zaidi CHIEF MKWAWA pia natumai ulisha sikia hii
View attachment 1312781
View attachment 1312782
Simu yangu inakava ilidondoka protector ikapasuka na kuscratchSasa kama ikapasuka inapasuka na kioo si bora nibaki na kioo tu pekee
Napenda zile protector za kawaida zenyewe huwa hazijakaza sana hata simu ikipata shock yenyewe ina act as shock absorber ina crack haraka kioo kinabaki safe
In short protect huwa ni kwa ajili ya kukinga scratches kwenye kioo na sio kuzuia kioo kupasuka!
Kinachokilinda zaidi kioo kisipasuke ni zile kava za juu hata simu ikidondoka toka height flani!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kakuuliza swal la msing lakin“Much know “ ndio tatizo la bahadhi ya member wengi hapa mada iko wazi we unaleta mada juu ya mada. Punguza kiherehere cha kujua sana na mihemko na changia hoja kama inavyo taka . Poor
Glass is glass, and glass breaks!
Hiyi kila baada ya mwaka au mwaka na nusu inabidi uweke tena maana haina maisha marefu. Ila kuna protekta yao ya plastic ni nzuri sana ila bei yao ni kubwa.
Imagine simu kama Iphone inauzwa milioni 3 lakini wanashindwa kuweka hiyo ceramic liquid moja kwa moja tokea factoryKwa hapa Moro hiyo ya liquid ni elfu 15 na hiyo lamination elfu 45