Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Habari za hapa,
Jana nilikuwa Mororogo Mjini nikapita mahali nikaona kijana moja akielezea teknolojia mpya ya kulinda kioo cha simu ya Ceremic Liquid na nyingine ya protector fulan hivi ngumu.
Hii teknolojia ya ceremic anatumia vimiminika fulani hivi vya aina kama 4 alafu anaweka simu kwenye ki mashine kama picha inavyo onyesha na baada ya dakika 10 inakuwa tayari hapo anajaribu ikitoboa na hiyo drili mashina na simu haitoboki wala kuchubuka pia hata misumari na vitu vyenye ncha havichubui.
Ya pili baada ya Ceremic anaweka hiyo Protector ngumu (extreme lamination)na kioo kinakuwa strong kiasi kwamba anapigilia msumari kwenye hicho kibao na simu kabisa kwa upande wa kioo.
Sasa niliangalia nikiwa na maswali hii ni salama kwa simu kweli ? Baadae haitaleta madhara kama kuondoa sensitivity ya kioo ? Na nilimuuliza inaweza toka akasema hapana labda utoe kioo chote!
Naamini hapa kuna wataalamu walisha iona hata kuijua vyema wanaweza elezea zaidi CHIEF MKWAWA pia natumai ulisha sikia hii
Jana nilikuwa Mororogo Mjini nikapita mahali nikaona kijana moja akielezea teknolojia mpya ya kulinda kioo cha simu ya Ceremic Liquid na nyingine ya protector fulan hivi ngumu.
Hii teknolojia ya ceremic anatumia vimiminika fulani hivi vya aina kama 4 alafu anaweka simu kwenye ki mashine kama picha inavyo onyesha na baada ya dakika 10 inakuwa tayari hapo anajaribu ikitoboa na hiyo drili mashina na simu haitoboki wala kuchubuka pia hata misumari na vitu vyenye ncha havichubui.
Ya pili baada ya Ceremic anaweka hiyo Protector ngumu (extreme lamination)na kioo kinakuwa strong kiasi kwamba anapigilia msumari kwenye hicho kibao na simu kabisa kwa upande wa kioo.
Sasa niliangalia nikiwa na maswali hii ni salama kwa simu kweli ? Baadae haitaleta madhara kama kuondoa sensitivity ya kioo ? Na nilimuuliza inaweza toka akasema hapana labda utoe kioo chote!
Naamini hapa kuna wataalamu walisha iona hata kuijua vyema wanaweza elezea zaidi CHIEF MKWAWA pia natumai ulisha sikia hii