Hii tabia ya watu wenye Ajira kuapply Ajira mpya, ni chanzo kimojawapo cha ongezeko la MaJobless.

mandella

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
3,048
3,227
Huu utitiri wa watu unaoonekana kwenye Usahili,simply unaongezeka kutokana na watu wenye rohoo mbaya ya kutoridhika,yeye kila siku utamkuta anatafuta kazi as if ndio kipaji alichozaliwa nacho wakati tayari yupo na kazi permanent tena yenye maslahi.

Tambueni hamfanyi sahihi , kwanza Mnasababisha ajira kuonekana ndogo
2. Mnatia chumvi kwnye Vidonda vya Graduates/Jobless.

My take:
Mm nadhani sasa patokee utaratibu kutoka serikalini wa kuwabana hawa watu kwa kufanya monitoring ya jambo hili especially kwa watu walikaa kwnye ajira zao kwa mda mrefu . (Imefka mhl Mtu badala apambane kutafuta kupandishwa cheo hapo alipo, anapambana kusemd CV mitandaoni.)

Swala la experience litapatikana kwnye field na intership za wahusika not necessarily kuchukua mtu aliyekua na kazi permanent before.

Hii lazima ichukuliwe serious Otherwise katika Bomu linalotengezwa basi ni hili la ajira.

Mwisho kabisa nitoe pole kwa waathirika wote waliopata madhara kutokakwa kwa hawa watu tajwa .
 
Inasikitisha sana unakuta jimama na libaba yote yanalipwa 700k+ yanaacha kazi zao yanenda kugombea na graduates waliokaa mtaan miaka miwili na zaidi bila kazi!!

Achen tamaa bana!!
 
NI KWELI MKUU, ILA UTARATIBU UKO WAZI KWAMBA, MTU ALIYEAJIRIWA SERIKALINI HARUHUSIWI KUOMBA KAZI KATIKA CHEO CHA KUINGILIA ISIPOKUWA KATIKA SENIOR POST ZINAZOHTAJ EXPERIENCE.

KWA MFANO KAMA UMEAJIRIWA ACC II WA NANYUMBU DISTRICT HURUHUSIWI KUOMBA NAFAS YA ACC II KATKA TAASIS NYINGNE YA SERIKALI..
 
Green postures mkuu, kua mpole tu ndo hurka ya binadamu kutafuta kile kinachom-satisfy
 
Pambaneni na HALI zetu kila MTU ana ridhiki yake, wakati ukifika utapa
 
Yan Jitu Linalalamikia Kuongezwa Mishahala Wakati Watu Hatuna Hata Hatuna Huo Wake Anao Ona Mdgo Huwa Napata Moto Sana Jitu Linalalamika Maisha Magumu Apo Apo Lina Mshahara Yan Kama Ningekua Na Uwezo Walah Ningewatoa Kazn Waonje Joto La Jiwe ,,,....Kwa Akili Yangu Ilivo Sharp Nikilipwa Mshahara Wa Sh Lak 3 Tu Unatosha Sana Na Ndan Ya Mwaka 1 Nishajiajili ,,, Mungu Yupo
 
Yan Jitu Linalalamikia Kuongezwa Mishahala Wakati Watu Hatuna Hata Hatuna Huo Wake Anao Ona Mdgo Huwa Napata Moto Sana Jitu Linalalamika Maisha Magumu Apo Apo Lina Mshahara Yan Kama Ningekua Na Uwezo Walah Ningewatoa Kazn Waonje Joto La Jiwe ,,,....Kwa Akili Yangu Ilivo Sharp Nikilipwa Mshahara Wa Sh Lak 3 Tu Unatosha Sana Na Ndan Ya Mwaka 1 Nishajiajili ,,, Mungu Yupo
Acha hasira kaka.Ni kwamba hata wenye ajira hatuna raha..Huku ni malalamiko pia.Tunapenda sana muajiriwe mana huku mzigo ni mkubwa.Hauko peke yako uliyekosa ajira.Ni wengi sana.Mda ukifika mtaajiriwa Hata sisi tuna matumaini pia
 
Yan Jitu Linalalamikia Kuongezwa Mishahala Wakati Watu Hatuna Hata Hatuna Huo Wake Anao Ona Mdgo Huwa Napata Moto Sana Jitu Linalalamika Maisha Magumu Apo Apo Lina Mshahara Yan Kama Ningekua Na Uwezo Walah Ningewatoa Kazn Waonje Joto La Jiwe ,,,....Kwa Akili Yangu Ilivo Sharp Nikilipwa Mshahara Wa Sh Lak 3 Tu Unatosha Sana Na Ndan Ya Mwaka 1 Nishajiajili ,,, Mungu Yupo
Huu ni wendawazimu mkubwa!Wewe ni graduate halafu unalilia mshahara wa laki 3 tu?Una mapungufu makubwa na unatakiwa kumuona daktari wa magonjwa ya akili!
Tafuta mtaji wa kuuza karanga za kukaanga utapata zaidi ya laki tatu kwa mwezi.
Mfano kwa siku una weza kuuza kilo 3 ukitembeza mwenyewe.Kilo moja ukiuza unapata sh. 6000. Kwa hiyo kilo 3 ni 18000 kwa siku.Wakati wewe unanunua kilo moja kwa sh.2000-2500 kwa kilo.Ukipiga kwa mwezi ni 18000 x 30= 540000.Ukitoa mtaji
540000 - 225000 = 315000 faida.
Pia unaweza kuuza uji kila siku asubuhi na jioni.Vikombe 16 ASB @ 500 = 8000 na jioni pia vikombe 20 x 500 = 10000 kila siku 18000.
Woga wako ndio umaskini wako.Mimi niliuza vitumbua,mapanki,maembe na nilitukanwa kila aina ya matusi na nilikatishwa tamaa na hata mama yangu maana aliona kama namtia aibu.Nilijaribu kulima lakini ilinyesha mvua kubwa ya mafuriko nikala hasara kubwa.Leo nimesahau tabu hizo ingawa changamoto za maisha bado zipo
 
Yan Jitu Linalalamikia Kuongezwa Mishahala Wakati Watu Hatuna Hata Hatuna Huo Wake Anao Ona Mdgo Huwa Napata Moto Sana Jitu Linalalamika Maisha Magumu Apo Apo Lina Mshahara Yan Kama Ningekua Na Uwezo Walah Ningewatoa Kazn Waonje Joto La Jiwe ,,,....Kwa Akili Yangu Ilivo Sharp Nikilipwa Mshahara Wa Sh Lak 3 Tu Unatosha Sana Na Ndan Ya Mwaka 1 Nishajiajili ,,, Mungu Yupo
Kijana punguza stress, mambo hayako hivyo unavyofikiria!
 
Kweli, mamtu mengine sijui yakoje? Clouds anzeni kuwafundisha ujasiliamali walioko maofisini wawapishe vijana kazini, limtu limesoma darasa moja na wasira bado ninajipanga kwenye usaili wa kazi, ipo siku tutakuja pigana makofi kwenye foleni
 
Hebu fikiria mtu kastaafu serikalini na haya magumu tuliyonayo siajabu kachangia, bado umkuta mgodini utamkuta kwenye NGO halafu wazungu wanawapenda kweli ni mahodari wa kuchongea wengine balaa,
 
Kweli, mamtu mengine sijui yakoje? Clouds anzeni kuwafundisha ujasiliamali walioko maofisini wawapishe vijana kazini, limtu limesoma darasa moja na wasira bado ninajipanga kwenye usaili wa kazi, ipo siku tutakuja pigana makofi kwenye foleni
Pambana na hali yako kijana.Siku njema zitakuja pale utakapong'amua kwamba chanzo cha matatizo yako si mzazi,mtu aliyekazini muda mrefu,mfumo,serikali,wala matajiri,Bali ni wewe mwenyewe.Kama hutagundua hilo,ni lazima utachanganyikiwa
 
Acha hasira kaka.Ni kwamba hata wenye ajira hatuna raha..Huku ni malalamiko pia.Tunapenda sana muajiriwe mana huku mzigo ni mkubwa.Hauko peke yako uliyekosa ajira.Ni wengi sana.Mda ukifika mtaajiriwa Hata sisi tuna matumaini pia
Mkuu, huyo kwenye avatar ni wewe ama..!!??
Nauliza tu,usinikate mapanga
 
Back
Top Bottom