King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,622
Sagana @ work
hapo naomba uchangie bila jazba.
chuoni kulikuwa na bafu moja kubwa vidume tulikuwa tukioga kwa pamoja huku tukipiga story za kumwaga. Ukiwa mwoga au dushelele ni aina ya sweta basi unaoga na kyupi. Pia kijijini kwetu wakubwa kwa wadogo jinsia moja tunaoga pamoja iwe mto nabili, kisimani kagera msaki, bwawani kwa salumu ama ziwani. Ni kawaida mwamba tembea uone
kwanini?wanaume hawawezi kuoga bafu moja hata kulala same side hawawezilazima watalala mzungu wa nne
hapo naomba uchangie bila jazba.
Ni jambo la kawaida kwani wakaka hamwezi kuoga pamoja?
Wanawake wa shule za boarding au?
Ni jambo la kawaida kwani wakaka hamwezi kuoga pamoja?
Mbona swimming pool wanaoga pamoja?
watu tunachelewa mishe....
mi bibi angu alikuwa akiingia bafuni nakoma lazma anicheleweshe tu
make anakaa chini, aanze kujikwatua miguu na jiwe yani kuoga si chini ya masaa mawili
mwanzoni nilikuwa navumilia, ila baadae akiingia namgongea tunaoga wote