Hii tabia ya wanaume kulialia kisa mapenzi nini shida?

Anamsikiliza lava lava akitoka hapo anataka aufanye ule wimbo uhalisia yaani.

"Oooh bila wewe nakufa, nakufa wewe ndo moyo wangu, mm bila wewe si kitu chukua maua ya upendo wangu, usiniacheeeeeeeeee ukiniacha ntasema kwa mama ooh mimiiiii ntafanyaje"
MAVI YAO.
 
Anamsikiliza lava lava akitoka hapo anataka aufanye ule wimbo uhalisia yaani.

"Oooh bila wewe nakufa, nakufa wewe ndo moyo wangu, mm bila wewe si kitu chukua maua ya upendo wangu, usiniacheeeeeeeeee ukiniacha ntasema kwa mama ooh mimiiiii ntafanyaje"
MAVI YAO.
Hahahaha wee mwamba umenifurahisha, akimaliza anakuja kufungua uzi huku anatuchanganyia mafolder!
 
Bora anayelia maana anajifunza kua act movie ... Mie nililia ila nilikuww nimelewa na mbaya alinikamatisha na polisi ivyo ilibidi nizuge apate huruma ili aniachie ulishaambiwa uishi na mwanamke kwa akili .usijifanye nunda tumia akili ili umove on
 
Kitu ambacho sisi wanaume wengi hatukiju wanawake now wana uwezo wa kujitegemea na sio tegemezi inapaswa kufahamu huyu mtu anakuwa na machaguzi na kuwa na yeyote amtakaye so ukimuona kachagua kuondoka jua hakuwa ridhiki yako so go on instead kulialia thus how men should be! Kulialia siyo tabia ya wanaume
No sio wana uwezo wa kujitegemea wanaangalia kwenye pesa ndipo wakadange.
Ndio maana mimi huwa nikiachwa huwa sishangai wala sishtuki hasira zangu nazipeleka kwenye kutafuta pesa nikiamini kwamba nikishazipata pesa hakuna mwanamke nikimtaka nitamkosa.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
eti unasema nitalia kama yule wa hamida? Come on nigga!, mengi nimeyaona na kupitia so sio mgeni huko.
Kumbuka kulia nayo ni sanaa kuna jamaa kwenye kikao alikuwa analia ili mambo yaishe akituhumiwa na kitu chochote kazin Amalia na kusema amelogwa mie mwenyewe nilijifanya kulia nilikamatwa na polis kisa dem et nimemfanyia fujo baada ya hapo akasamehe nikatoka so hizo ni mbinu za kijeshi .nashukuru hajawah kuniona tena na sitaki kuonan unatafuta namba mpya maisha mapya ivyo ...wewe Italia ukimaanisha
 
Back
Top Bottom