TANMOJA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 411
- 382
Na posho juuMadereva na mkonda huwa wanakula bure kwenye hizo hotel wakishusha wanapata msosi bure ndio maana hawaogopi bei
Na posho juuMadereva na mkonda huwa wanakula bure kwenye hizo hotel wakishusha wanapata msosi bure ndio maana hawaogopi bei
Maboga ni bora kuliko chipsi zegeBebeni na maboga
mkuu unaua sasa mwenzio analalamikia vitu vya buku buku ataweza panda ndege ? akijitahidi sana atapanda luxury labdaPanda ndege
Na haja mnazoenda kuzifanya za kubwa na ndogo mnazilipia kwa dizaini iyo,Wanafidia gharama za kukaa huko maporini....nahisi gharama za uendeshaji ni kubwa na wanategemea mabasi tuu labda magari madogo ya wasafiri.