chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Benki zetu rekebisheni ili yani unakuta benki imejaa magari unaweza sema ni wateja kumbe ni wafanyakazi wenu hapo benki.
Ni sehemu chache benki zilizokuwa na eneo maalumu kwa ajili ya wafanyakazi.
Jaribuni kuwatengea maeneo hata kwa kukodi ili wateja waweze kufikisha magari yao kama wanapesa nyingi.
Ni sehemu chache benki zilizokuwa na eneo maalumu kwa ajili ya wafanyakazi.
Jaribuni kuwatengea maeneo hata kwa kukodi ili wateja waweze kufikisha magari yao kama wanapesa nyingi.