Nawapa hongera wale wadada wasiotoa namba zao za simu, kuliko hawa wanaotoa namba ila ukiomba kukutana nao siku flani, hata kama ni kwenye mgahawa mpate soda mbili tatu, ni kama vile unapanga appointment ya kukutana na mheshimiwa rais..hizo sababu na kalenda utakazopigwa, usipoweza jizuia hasira, unaweza ishia kumtukana mdada wa watu.
Ukimwambia mdada aje ghetto, atakwambia nakuja, subiri na ww, MTU hatokei. Hahaaahaa
Hawa wadada wa sahivi, wengi wao ukiwaweka moyoni utaishia kuwa mwanaume wa kuhuzunika kila siku, bora tu ukimwona Mwanamke mwenye chura unamtongoza tu, mwenyewe atadhani umedata, kumbe rohoni, huna time nae hata kidogo akizingua leo, kesho yake umeshamsahau.
Ukimwambia mdada aje ghetto, atakwambia nakuja, subiri na ww, MTU hatokei. Hahaaahaa
Hawa wadada wa sahivi, wengi wao ukiwaweka moyoni utaishia kuwa mwanaume wa kuhuzunika kila siku, bora tu ukimwona Mwanamke mwenye chura unamtongoza tu, mwenyewe atadhani umedata, kumbe rohoni, huna time nae hata kidogo akizingua leo, kesho yake umeshamsahau.