Hii tabia ya kuwa pengo halitazibika ni uongo, kumpamba mtu tu. Kama pengo la Albert Einstein lilizibika, basi pengo lolote litazibika

Ni maneno ya kuwafariji watu tu,lakini mara nyingi hayana uhalisia, labda kama ni mzazi,mtoto au ndugu ndiye aliyefariki.
Exactly, hilo kweli huwezi kuwa nam mbadala wa mtoto wako uliyemzaa, lakini hawa wa kisiasa yanazibika.
 
Siamini kuwa hakuna pengo lisilozibika. Ni kudanganyana kumpamba mtu lakini ukweli ni kuwa kila pengo linazibika.
Ukiondoka anakuja mwingine, maisha yanaendelea.
Lilizibika pengo la Mahiga kabla hajashushwa kwenye udongo. Na imani na huyu litazibwa kabla mwili wake haujavuka mto Wami
 
Kweli kabisa, hata Mimi huwa nakataa wanachadema wanapossema eti hakuna Kama mbowe kwenye uenyekiti. Ni ujinga kabisa
 
Kwahiyo ww ukifa atazaliwa mwingine kama ww wakufanana na wewe kwa kila kitu?.. Au unahisi wanamaanisha nini
 
Lilizibika pengo la Mahiga kabla hajashushwa kwenye udongo. Na imani na huyu litazibla kabla mwili wake haujavuka mto Wami
Umesema kweli, Maiga mpaka watu walimshangaa kwanini anamchagua mrithi wakati hata matanga baado. Wami mbali, Chalinze tu
 
Kweli kabisa, hata Mimi huwa nakataa wanachadema wanapossema eti hakuna Kama mbowe kwenye uenyekiti. Ni ujinga kabisa
Wanachadema wanasema katika utawala huu ambao ni wa kishetani kwa kurubuni watu kwa fedha, ni vema wakaacha kugusa uongozi wa juu. Vinginevyo Mbowe kuwa kumrithi katika mazingira ya demokrasia wapo wengi sana.... Kwenye udikiteita hapana, ngoja Mbowe awepo kidogo.
 
Siamini kuwa hakuna pengo lisilozibika. Ni kudanganyana kumpamba mtu lakini ukweli ni kuwa kila pengo linazibika.
Ukiondoka anakuja mwingine, maisha yanaendelea.
Pengo litazibika ila halitakua kama lile la awali, utaziba na jino bandia kimafano hai kabisa, hata kama ni mtu atakae ziba nafasi ya yule alietangulia ataziba lakini hatakua kama yule alietangulia huo ni ukweli usiopingika acha kujifariji na maneno marahisi
 
Pengo litazibika ila halitakua kama lile la awali, utaziba na jino bandia kimafano hai kabisa, hata kama ni mtu atakae ziba nafasi ya yule alietangulia ataziba lakini hatakua kama yule alietangulia huo ni ukweli usiopingika acha kujifariji na maneno marahisi
wapo wengi sana wa kuziba hizi nafasi za kisiasa.
 
Siamini kuwa hakuna pengo lisilozibika. Ni kudanganyana kumpamba mtu lakini ukweli ni kuwa kila pengo linazibika.
Ukiondoka anakuja mwingine, maisha yanaendelea.
Inategemea na pengo lenyewe.
Mfano mm naweza kuziba pengo la Magu bila shida. Japo kila mtu ni wa pekee,Ila kwenye uongozi kila pengo huzibwa.
 
Kwahiyo mnataka kuniambia nyie wabishi wezangu je pengo la Nyerere tayari limeshazibwa?
 
Back
Top Bottom