Hii Tabia ya kuji Edit kama Nguruwe ni nini vijana?

Intelsat

JF-Expert Member
Feb 29, 2016
323
532
Wakuu vijana wa kileo wanakengeuka sana sijui hata hayo makorokocho wanatolea wapi, nkikatiza Facebook au instgram Najikuta tu najiuliza hivi umo kweli kuna vijana wa kiume au? Kuna Haka katabia sasa ka kuji edit mtu anaonekana kama nguruwe hivi mmekatolea wapi enywe vijana Huu ni ujinga kabisa
394237ef78e0b74b8dd2b5dbc1c1296c.jpg
 
Ingilia maisha ya mtu binafsi kama maisha yake yanaharibu pia maisha yako lakini kama hayaharibu fanya yale au shughulika na yale yanayokupendeza.
 
Wote fikra zenu mbovu haswa....

Kwani mtoa mada wewe unaboreka wenzio wanafurahia
Hii ni lifestyle ya sasa
Na isitoshe karne hii Fanya yako ya watu yaache kila mtu na his & her life mxtha fxcka......
 
Back
Top Bottom