Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
Nauliza Swali, HII TABIA ya Mwanasheria kuwa msemaji wa mteja wake nje ya court, inatokea wapi Na kwenda wapi?
Kwamba Mwanasheria si Mtetezi Na msemaji wa mteja wake mbele ya mlinda Amani tu Bali pia msemaji wa mteja wake Kwa Marafiki zake, waandishi, wadadisi, mke/mume etc.?????????!!???
Embu mnijuze hapo.! Fani ya Sheria yaweza Kuwa zaidi ya tunavyoikariri.. Inaweza tumika kuchumbia/wa n.k .. ??!
NIELEWESHWEEE..!
Kwamba Mwanasheria si Mtetezi Na msemaji wa mteja wake mbele ya mlinda Amani tu Bali pia msemaji wa mteja wake Kwa Marafiki zake, waandishi, wadadisi, mke/mume etc.?????????!!???
Embu mnijuze hapo.! Fani ya Sheria yaweza Kuwa zaidi ya tunavyoikariri.. Inaweza tumika kuchumbia/wa n.k .. ??!
NIELEWESHWEEE..!