baraka bb
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 2,691
- 3,858
Pombe ni mbayaa, zinawaondolea kujitambua na kufanya maamuzi yaliyo sawa.
Pombe zinafanya Mmuamke asubuh mkiwa wenye majuto .
Pombe zimefanha mgombane na wanawake zenu ndan bila sababj.
Pombe zimewafanya wengine "Mliwe ndogo".
Pombe zimewafanya mmfanye mambo ya ajabu ajabu .
Ndo kama hivo, Hivi una akili yenye itimamu. Haijachanganywa na kilevi, unaanzaje Kupitisha ulimi kwenye mkunduu???
hayo matendo yote uliyoorodhesha hapo uoni kama ni mabaya kwako tu ila kwa mnywaji ni mazuri,, so wewe endelea kunywa juice na uji ndo kinakupa furaha,,
Then muache mnywa pombe anywe pombe ye furaha yake ndo hyo kuamka kichwa kinauma
so kwenye maisha kibaya kwako kizuri kwa mwenzako wengine bila kunyonya kinyeo hatujisikii kama tumefanya mapenz