Katika pitapita yangu kweye Magazeti nimekutana na na habari inayosema kuwa Yanga wamewahi kupigwa magori 13 huko Brazil nikaona ngoje nije hapa jf kwa kuwa watu wanatunza kumbukumbu na kuna wanayanga Wakongogwe wanaweza kulitolea ufafanuzi.
Naomba wenye ukweli wa hili watiririke
Karibuni
Naomba wenye ukweli wa hili watiririke
Karibuni