Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,005
- 173,646
Eeh chukulia mtu ana Mshahara wa 12M kila mwezi huyu anajengaje kwa uchungu sasa? Maana hata akisema avute 100M ya Chap hapo NMB ana uhakika wa kuipewa fasta sababu sio rahisi ku default.Una familia au upo singo? Unasomesha? Ugumu ni pale ambapo ada zinakutana na kodi ya kupanga, hapo ndo huwa akili inakukaa sawa. Hiyo kujenga kwa kujinyima huwa inakuja tu automatic na sio kwa kupenda hasa pale unapoona maji yameshazidi unga
Lakini pia inategemeana na kipato chako, kuna wengine wanaweza kujenga mwanzo mwisho bila kujinyima huku wamepanga na mambo mengine yanaendelea kama kawaida
Hata ukiwaambia wakate 6 kila mwezi ndani ya 3 yrs deni limeisha na life linaendelea kama kawaida. Hawa ndio wale wa kuporomosha kitu mwanzo mwisho. Anakamata ground ya 20M fasta akianza hapoi mpaka anahamia ndani ya miezi 6 tu.