johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,561
Najiuliza tu kwa sababu mambo yote yahusuyo stendi hiyo yaliratibiwa wakati Jiji la Dar es salaam likiwa chini ya Chadema na Lord Mayor Dsm akiwa mh Isaya Mwita.
Naomba kuelimishwa
Maendeleo hayana vyama
cc: Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto
Naomba kuelimishwa
Maendeleo hayana vyama
cc: Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto