mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
Wakuu natumai hamjambo!
Kile ambacho mwenye kiti wa CCM Taifa alikifanya Jana huku wapinzani akiwaziba midomo sio fair kabisa!
Hii inatoa tafsiri mbaya Sana, dictatorship government iliyofichwa ndani ya democratic government!
Vyama pinzani hata kufanya mikutano ya mambo yao ya ndani, imekua gumzo, IGP Sirro na jeshi lake wamekuwa mstari wa mbele kukandamiza democracy kwa kisingizio eti MAELEKEZO KUTOKA JUU, huko juu Ni wapi Kama sio kutoka kwa m/kiti CCM Taifa?
Inasikitisha kuona M/kiti CCM Taifa anafurahia na hakemei kuona police wakiangaika na Vyama pinzani, wakiwarunda cell na magerezani, huku kwa upande wake akilindwa na police haohao!
Je, ucha Mungu ndio Huu??
Je, ingekuwa yeye anafanyiwa hivi angejiskiaje??
Hata Maandiko yanatuasa , " Tutoe kibanzi ndani ya macho yetu kabla hatujakosoa uwepo wa vibanzi katika macho ya wengine!
Kile ambacho mwenye kiti wa CCM Taifa alikifanya Jana huku wapinzani akiwaziba midomo sio fair kabisa!
Hii inatoa tafsiri mbaya Sana, dictatorship government iliyofichwa ndani ya democratic government!
Vyama pinzani hata kufanya mikutano ya mambo yao ya ndani, imekua gumzo, IGP Sirro na jeshi lake wamekuwa mstari wa mbele kukandamiza democracy kwa kisingizio eti MAELEKEZO KUTOKA JUU, huko juu Ni wapi Kama sio kutoka kwa m/kiti CCM Taifa?
Inasikitisha kuona M/kiti CCM Taifa anafurahia na hakemei kuona police wakiangaika na Vyama pinzani, wakiwarunda cell na magerezani, huku kwa upande wake akilindwa na police haohao!
Je, ucha Mungu ndio Huu??
Je, ingekuwa yeye anafanyiwa hivi angejiskiaje??
Hata Maandiko yanatuasa , " Tutoe kibanzi ndani ya macho yetu kabla hatujakosoa uwepo wa vibanzi katika macho ya wengine!