Hii sio haki

Nampa masaa 12 asiporudisha hela naanika chat
 
Watakua wale wa magroup ya malaya huko insta, ilishanikutaga hii, Niligoma kutuma elf tano akachukua picha yangu akaipiga bonge la bandiko "MALAYA WA INSTA'' kaniambia nisipotuma hiyo 5k anaipost huko insta, Mbona niliomba pooo!
Malaya si unamtumia picha ya uongo tu mkuu.
 
Naona wanaume mnazidi kujiongezea mlima wa kula za uso huko PIEMU sasa nasemaje mlioko huko pm kwangu muusome huu uzi kwa makini kabisaaa maswala ya kuombana namba za simu na maswali mengi ya unaishi wapi siyajibugi kwa usahihi kwasababu kama hizi za kisengerema

4800 unafoka na kujitutumua eti utamuanika fyeeeeeeeee wanaume wa humu wengi wao ni mafambastick yawezekana ni wanawake wenzetu tu umenikera kweli kweli
Kwa hili povu mpenzi naomba agiza Fanta orange 😀😀😀
 
Naona wanaume mnazidi kujiongezea mlima wa kula za uso huko PIEMU sasa nasemaje mlioko huko pm kwangu muusome huu uzi kwa makini kabisaaa maswala ya kuombana namba za simu na maswali mengi ya unaishi wapi siyajibugi kwa usahihi kwasababu kama hizi za kisengerema

4800 unafoka na kujitutumua eti utamuanika fyeeeeeeeee wanaume wa humu wengi wao ni mafambastick yawezekana ni wanawake wenzetu tu umenikera kweli kweli
Asee ilo ni toto kweli kweli, nikikutana nae nauza tractor zangu zote,naenda kumjengea pembeni ya mlima Kilimanjaro!!!
 
Back
Top Bottom