syllae
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,794
- 1,910
Kwa iyo mm ni nan mkuu?Maajabu tz hayaishi...wanaume sikuhz hamna
Kwa iyo mm ni nan mkuu?Maajabu tz hayaishi...wanaume sikuhz hamna
Hakupe papuchi
Bro umepigwa kifala sana,usingefanya muamala ungemwambia akakope kama ni sacos au vikoba ukishamaliza ulilomuitia akupe bill yako.
Wooiiinilijua ni ww umeanza kutapeli nauli kama DemissWoiii siku hizi sikai tabata jomoniii...niko msakuzi mimi
Mkuu, mbona wengi tulusha umizwa na hata sisi tulisha waumiza...!!Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne. Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa.
Najua juzi kati ulikuwa na birthday hadi humu jeiefu wakakupongeza. Kama uliongezea mahitaji ya sharehe yako mimi nataka pesa yangu.
We ni nani?Kwa iyo mm ni nan mkuu?
Mtaje jinaaaa..
Mimi ni syllae mwanaume wa mkoan nilozamia apa njiapanda ya ulaya (daslam) apa karibu na njiapanda ya kwend mkoan (ubungo terminal)We ni nani?
nimecheka sanaTulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne. Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa.
Najua juzi kati ulikuwa na birthday hadi humu jeiefu wakakupongeza. Kama uliongezea mahitaji ya sharehe yako mimi nataka pesa yangu.
UPDATE.
Naona amenitext whatsapp alipoona huu uzi baada ya kunibuloku kwa wiki tatu. Sasa nasema hivi, pesa arudishe na riba ya 50 pasenti. La sivyo nakuja kuanika chat zako za pm. Nimekubali kupigwa bani maana nitapigwa bani na iko siku nitaudishwa.
Pipoooooooozi
....theSio huyu kweli DemissUkiwa pekeyako nyumbani huwa unafanya nini kama huna kazi? - JamiiForums
Mimi huwa nina angalia movies na kusoma vitabu! Tupeane maujanjawww.jamiiforums.com
Huwa nachat na madanga mapya mtandaoni na kuyatapeli nauli
Safi sana matapeli wamekua wengi sana hasa wanawake we tema pesa ya watuTulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne. Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa.
Najua juzi kati ulikuwa na birthday hadi humu jeiefu wakakupongeza. Kama uliongezea mahitaji ya sharehe yako mimi nataka pesa yangu.
UPDATE.
Naona amenitext whatsapp alipoona huu uzi baada ya kunibuloku kwa wiki tatu. Sasa nasema hivi, pesa arudishe na riba ya 50 pasenti. La sivyo nakuja kuanika chat zako za pm. Nimekubali kupigwa bani maana nitapigwa bani na iko siku nitaudishwa.
Pipoooooooozi
4800?? Hata Mimi ningekublockNilimtumia 4800
daslam wapi? Kinondoni auMimi ni syllae mwanaume wa mkoan nilozamia apa njiapanda ya ulaya (daslam) apa karibu na njiapanda ya kwend mkoan (ubungo terminal)
Ehe bado wanaume tumeisha?
Hahaha sio kwa kicheko hichoo
Njaa kali lakini bado sijafika viwango vya kimataifa aseeee😂😂😂😂Wooiiinilijua ni ww umeanza kutapeli nauli kama Demiss