Hii sio haki

kanali mstaafu

JF-Expert Member
May 17, 2015
4,321
4,087
Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne.

Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa.

Najua juzi kati ulikuwa na birthday hadi humu jeiefu wakakupongeza. Kama uliongezea mahitaji ya sharehe yako mimi nataka pesa yangu.

UPDATE.
Naona amenitext whatsapp alipoona huu uzi baada ya kunibuloku kwa wiki tatu. Sasa nasema hivi, pesa arudishe na riba ya 50 pasenti. La sivyo nakuja kuanika chat zako za pm. Nimekubali kupigwa bani maana nitapigwa bani na iko siku nitaudishwa.

Pipoooooooozi
 
Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne. Tafadhali rudisha hela yangu la sivyo nitajitoa muhanga nianike chat zetu za PM hata nikipigwa ban najua nitarudi baada ya siku kazaa
Kadhaa.
 
4800 ni ndogo sana inawezekana alikuwa anakuja akakutana na foleni sasa hiyo hela hata hawezi kushuka katika daladala akachukua bodaboda
Siku nyingine tuma mzigo wa maana at least elf 30
 
Watakua wale wa magroup ya malaya huko insta, ilishanikutaga hii, Niligoma kutuma elf tano akachukua picha yangu akaipiga bonge la bandiko "MALAYA WA INSTA'' kaniambia nisipotuma hiyo 5k anaipost huko insta, Mbona niliomba pooo!
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom