Imurumunyungu
Senior Member
- Nov 27, 2011
- 108
- 17
Jamani wanaJF ni kwamba biashara yote ya dhahabu inafanyika kwa sarafu ya US DOLLAR.Maexpert wote wanalipwa kwa US D lakini wazawa ambao ni watanzania wanalipa kwa thamani ya TZ SHILLINGs ila mameneja woote wa kibongo wao wanalipwa kwa US D.Hili ni tatizo la wafanyakazi,wawekezaji au Serikali yetu.Tufanyaje sasa ili kutatua hili tatizo au uonevu huu?.