Hii si ni aibu jamani?!!!

Maengo

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
280
29
Serikali ya Japani imetoa msaada wa Tsh713m kwa Tz kwa ajili ya miradi ya maendeleo!<br />
My takeTanzania yetu sio ya kupewa msaada wa namna hiyo!


source: chanel ten-habari
 
Cha kupewa hakina nyongeza, Je ulitegemea tupewe nyingi zaidi?
 
Msishangae hizo zimepatikana baada ya ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na JK kwenda Japan kuomba msaada!!!

Unatumia bilion 1 kwenda kuomba na wewe unapewa 0.7bn!!!
 
Serikali ya Japani imetoa msaada wa Tsh713m kwa Tz kwa ajili ya miradi ya maendeleo!<br />
My takeTanzania yetu sio ya kupewa msaada wa namna hiyo!


source: chanel ten-habari

Sisi wenyewe tushawapa Wajapan msaada wa maafa mdogo kuliko huo. Au umesahau?
 
Sisi wenyewe tushawapa Wajapan msaada wa maafa mdogo kuliko huo. Au umesahau?

Sasa wewe huoni kama ni aibu kupokea msaada kutoka kwa watu waliopatwa na maafa? Kutembeza bakuli imekuwa ndio National trade mark yenu ndio maana hata mkihongwa suti hamuoni aibu!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
h&#305;v&#305; h&#305;&#305; &#305;nshu ya Br&#305;ged&#305;a &#305;l&#305;&#305;sh&#305;a wap&#305;?
<br />
<br />

ndo imetoka hiyo mjomba, labda tutisikia tena kwenye kampeni za dr. 2015!
 
Serikali ya Japani imetoa msaada wa Tsh713m kwa Tz kwa ajili ya miradi ya maendeleo!&lt;br /&gt;<br />
My takeTanzania yetu sio ya kupewa msaada wa namna hiyo!<br />
<br />
<br />
source: chanel ten-habari
<br />
<br />
Hapa hata thumni inapokelewa tu ili mradi nchi isonge mbele
 
Back
Top Bottom