Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Tarehe 19 Juni 2012, John Mnyika akiwa mbunge wa Ubungo (CHADEMA), alitolewa Bungeni kufuatia kauli yake kuwa RAIS KIKWETE NI DHAIFU.
Alipotakiwa kufuta kauli hiyo kwa mujibu wa kanuni ya Bunge ibara ya 73 (2) John Mnyika alikataa; na ndipo Job Ndugai, wakati huo akiwa Naibu Spika akaamua maaskari wamtoe nje.
Na hapo jana, Spika Job Ndugai aliamuru maaskari wa Bunge wamtoe John Mnyika nje ya Bunge kwa kukaidi amri ya kukaa kimya wakati mbunge mwenzie anachangia.
(PICHANI : Maaskari wa Bunge wakimtoa John Mnyika nje ya viwanja vya Bunge tarehe 19 Juni 2012)-Kwa hisani ya Dar 24.
Alipotakiwa kufuta kauli hiyo kwa mujibu wa kanuni ya Bunge ibara ya 73 (2) John Mnyika alikataa; na ndipo Job Ndugai, wakati huo akiwa Naibu Spika akaamua maaskari wamtoe nje.
Na hapo jana, Spika Job Ndugai aliamuru maaskari wa Bunge wamtoe John Mnyika nje ya Bunge kwa kukaidi amri ya kukaa kimya wakati mbunge mwenzie anachangia.
(PICHANI : Maaskari wa Bunge wakimtoa John Mnyika nje ya viwanja vya Bunge tarehe 19 Juni 2012)-Kwa hisani ya Dar 24.