Hii Sheria ya Uingereza ingekuja Tanzania, tungelia udikteta!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Sasa ni official kwa Wazungu (Uingereza) kwamba Dereva yoyote ambaye atafanya ajali na kuua, na chanzo cha ajali kikawa ni yeye kutumia Simu wakati akiendesha basi atahukumiwa kifungo cha maisha, izingatiwe kwamba Kifungo cha maisha ndiyo kama kama kunyongwa kwetu kwani ndiyo adhabu ya mwisho ambayo Binadamu anaweza kupewa!

Hapa vipi Serikali yetu ingepitisha Sheria wala siyo kama hivi bali tu hata kusema atakayesababisha ajali huku akitumia Simu kwenda Jela moja kwa kwa mwezi 1, ingekuwaje? Watu wangesema ni Udikteta, kwa maana tangu Mtanzania ajue neno Dikteta hata haelewi maana yake anajiongelea tu ...
Mtu anaambiwa alipe Deni alilokopa yeye mwenyewe analia Udikteta!

PD47566918-mobile-phone-news-large_trans++ebBoPjfNj7t-es1bOVq-3VhUExebk5Zs-eM9tQzjOMA.jpg
 
Hivi sasa kuna haja ya Kurudi darasani Mkuu.

Hili suala likiletwa huku kwetu hatutokawia kusema kuwa ni UDIKTETA UCHWARA kama wengi wengi tulivyokariri kama kasuku.Wimbo uliobaki midomoni mwetu hivi sasa ni Udikteta tuu,hakuna lingine.

Binafsi nadhani ingefaa ili kuondokana na ajali zinazoepukika.
 
Sasa ni official kwa Wazungu (Uingereza) kwamba Dereva yoyote ambaye atafanya ajali na kuua, na chanzo cha ajali kikawa ni yeye kutumia Simu wakati akiendesha basi atahukumiwa kifungo cha maisha, izingatiwe kwamba Kifungo cha maisha ndiyo kama kama kunyongwa kwetu kwani ndiyo adhabu ya mwisho ambayo Binadamu anaweza kupewa!

Hapa vipi Serikali yetu ingepitisha Sheria wala siyo kama hivi bali tu hata kusema atakayesababisha ajali huku akitumia Simu kwenda Jela moja kwa kwa mwezi 1, ingekuwaje? Watu wangesema ni Udikteta, kwa maana tangu Mtanzania ajue neno Dikteta hata haelewi maana yake anajiongelea tu ...
Mtu anaambiwa alipe Deni alilokopa yeye mwenyewe analia Udikteta!

PD47566918-mobile-phone-news-large_trans++ebBoPjfNj7t-es1bOVq-3VhUExebk5Zs-eM9tQzjOMA.jpg
Mbona hiyo mifano haiendani?! Ajali huondoa uhai na pia husababisha ulemavu, lakini madeni hayatoi uhai wala kutia watu ulemavu.
 
Mbona hiyo mifano haiendani?! Ajali huondoa uhai na pia husababisha ulemavu, lakini madeni hayatoi uhai wala kutia watu ulemavu.
Mbona watu wanakufa na presha baada ya kuona wana mzigo mkubwa wa madeni kwenye mabenki na taasisi zingine za fedha. Madeni yanaua bhana labda kama unadaiwa buku..
 
Hata kumfunga dereva wa basi aliyelewa ni udikteta. Kwani pombe aliyokunywa si imelipiwa kodi.
Kumuondoa mmachinga au changudoa barabarani ni udikteta. Kwani wakale wapi ? Kuwaambia wenye bar wasipige mziki kwa sauti kubwa nao ni udikteta. MY SHOES
 
Mbona watu wanakufa na presha baada ya kuona wana mzigo mkubwa wa madeni kwenye mabenki na taasisi zingine za fedha. Madeni yanaua bhana labda kama unadaiwa buku..
Wadaiwa bodi ya mikopo toka 1994 wamekufa wangapi?
 
Russia ukiendesha gari chafu unapigwa faini ya rubble 2000 sawa na $57.
Sijui wangapi mtapigwa faini.

Na huko Costa Rica, kuendesha gari ukiwa na chupa ya bia mkono mmoja na mwingine kwenye usukani ni poa tu maadamu hulewi chakari.
NaonaTZ ingekuwa boda wengi wangeshukia Costa Rica
 
Back
Top Bottom