CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 853
Hii Kufuru Sasa...Yaani Milioni 125 Kwa Kalamu 35?!!
Bunge la nchini Uganda, linafanya uchunguzi juu ya ufujaji wa mamilioni ya shilingi kutokana na ununuzi wa kalami 35 kwa shilingi milioni 125 za Uganda.
Kalamu hizo zilitumika kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya benki kuu ya nchi hiyo.
Hii inatakiwa kuingizwa kwenye kitabu cha Guinness.
Bunge la nchini Uganda, linafanya uchunguzi juu ya ufujaji wa mamilioni ya shilingi kutokana na ununuzi wa kalami 35 kwa shilingi milioni 125 za Uganda.
Kalamu hizo zilitumika kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya benki kuu ya nchi hiyo.
Hii inatakiwa kuingizwa kwenye kitabu cha Guinness.