SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,342
Uzuri hii misemo hupita tu..Muasisi ni MPENJA,,, yule wa Azam...
Amekuwa akisema hvo kipindi timu ikishida,,, huchombeza kwa kusema.. "kwani timu pinzani Yanga yenyewe insemaje"...
Sasa watu wameufanya ukue na kuutumia hata pasipotakiwa...
Tukae humo...kama hujaewa, Nyoosha mkono uliza
900 itapendeza..
Mitano tena..
Watapata tabu sana..
Kipigo cha mbwa koko..
Yote yalipita hayo