Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,180
- 664
nimeshindwa kuvumilia imebidi niulize maana sijui kuna nn kwa baadhi ya wanachama wenzetu wana rangi ya kijani.
jee ni njia mpya ya kuroa credit au kuna nnnnn?
au ni ombi maalum kwa wanachama hawa au kulikoni ?
kuna sehemu mwanachama alidai huenda mafisadi wameingia na kumpa rangi ya kijani.
ila mie sidhani ni hivyo sasa nnaomba nijuilishwe
jee ni njia mpya ya kuroa credit au kuna nnnnn?
au ni ombi maalum kwa wanachama hawa au kulikoni ?
kuna sehemu mwanachama alidai huenda mafisadi wameingia na kumpa rangi ya kijani.
ila mie sidhani ni hivyo sasa nnaomba nijuilishwe