Hii raha au karaha?

mapenzi ni raha na ni matamu sana.

ukiwa single upweke nomaaaaaaa.. na unakosa mautamu lolz.
 
Nilikuwa nawaza hivi ningekuwa single roho yangu isingekuwa inamuwaza nimpendae,ningekuwa single nisingewaza yupo na nani maana nisingemjua,ningekuwa single nisingeumia kutokumjulia hali kila aamkapo au akilala ,ningekuwa single sisingewaza kuzungumza chochote bila kumkwaza pengine pia nisingewaza ngono,ningekuwa single...............
Kuwa huru kuna raha yake ila mapenzi nayo yana umuhimu wake.

Hivi mapenzi ni raha au karaha?

Hivi itakuwaje unayodhani ni karaha yakawa sio?

Halafu ni kwanini ufikirie kufikiri kuhusu mtu mwingine kuwa hiki hivi ua kile vile?
 
Ni raha kama jamaa Ana pesa ya kukutimizia nahitaji yako yote. Kama ni ya maneno tu ni karaha tupu
 
Hivi itakuwaje unayodhani ni karaha yakawa sio?

Halafu ni kwanini ufikirie kufikiri kuhusu mtu mwingine kuwa hiki hivi ua kile vile?

Mmmh usinifikirie vibaya miye napata raha nimewaza tu maana ukimwa single hakunaga makuu but upweke ndo utakumaliza.
Ila kwa wengine ni karaha ndomaana nikatoa hayo
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom