Hii raha au karaha?

Kauli yako hii shansarie ni nzito sana. Kwangu mimi mapenzi ni raha sana na hata siku moja haiwezi kuwa karaha.




Nilikuwa nawaza hivi ningekuwa single roho yangu isingekuwa inamuwaza nimpendae,ningekuwa single nisingewaza yupo na nani maana nisingemjua,ningekuwa single nisingeumia kutokumjulia hali kila aamkapo au akilala ,ningekuwa single sisingewaza kuzungumza chochote bila kumkwaza pengine pia nisingewaza ngono,ningekuwa single...............
Kuwa huru kuna raha yake ila mapenzi nayo yana umuhimu wake.

Hivi mapenzi ni raha au karaha?
 
Last edited by a moderator:
Kauli yako hii shansarie ni nzito sana. Kwangu mimi mapenzi ni raha sana na hata siku moja haiwezi kuwa karaha.



Kweli kabisa napenda tu signature yako unavikuja na truck big up
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
ukiwa single utatamani usiwe single
ukiwa na mtu utatamani uwe single

Mi nilikuwa nawaza ningekuwa single nidingekuwa namuwaza mtu yeyote but sitaki kuwa single ni stress zaidi kupendwa raha sana
Hasa ukipata mpendaji
Thumb up to kiwatengu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom