B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,250
- 2,650
hivi hichi chombo kinacho deal na ethic and code za radio kimekufaa au kiko hai,Radio ya cloud fm[clauzzz]hii radio ina nichafua sanaa watangazajii wamekosaa lugha nzuri kabisaa ya kuongea,leo nilikuwa na skiliza crazz frieday.huyu mchovu alikuwa anaongea upuuzi kabisa,''etii nyokaa mwenyee kipara ana jicho mojaa anataka kutoka....''shame on them.wanaongea to much for so long that why wanakosa cha kusemaa.:evil: