Trubetzkoy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 298
- 541
Hy, Great thinkers!
Kuna jambo limekuwa likinipa kigagaziko kwa muda mrefu hali iliyonilazimu kuandika uzi humu nikiamini hii ndio sehemu pekee ninapoweza kupata majibu ya jambo hilo.
Imekuwa ni kawaida hapa Tanzania watu/viongozi wanapokuwa wanatambulishwa kabla ya kutaja jina la kiongozi huyo kama ni msomi basi sharti itajwe status yake mfano, Prof, Dk, Eng etc.
Nimekuwa nikifuatilia nchi nyingine wanapofanya utambulisho huu utaratibu wa kutaja professor fulani au Doctor fulani kwao is less concern.
SWALI: Nini kinasababisha utofauti kati yetu na nchi nyingine kunako jambo hilo?
Kuna jambo limekuwa likinipa kigagaziko kwa muda mrefu hali iliyonilazimu kuandika uzi humu nikiamini hii ndio sehemu pekee ninapoweza kupata majibu ya jambo hilo.
Imekuwa ni kawaida hapa Tanzania watu/viongozi wanapokuwa wanatambulishwa kabla ya kutaja jina la kiongozi huyo kama ni msomi basi sharti itajwe status yake mfano, Prof, Dk, Eng etc.
Nimekuwa nikifuatilia nchi nyingine wanapofanya utambulisho huu utaratibu wa kutaja professor fulani au Doctor fulani kwao is less concern.
SWALI: Nini kinasababisha utofauti kati yetu na nchi nyingine kunako jambo hilo?