demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Baada ya kuwasili uwanja wa taifa wa jijini Dar es salaam. Mjuba alizuiwa na waandishi waliojitambulisha kuwa ni wa habari. Na mara moja wakaanza kumuuliza kuhusu tetesi za kujiunga simba kama ziko katika mpango wake.
Aucho akawapa jawabu na akaenda zake.
Baada ya lisaa baadae akaingia twitter na kupost hii picha ambayo mimi binafsi aijui inamaanisha nini.
Kwa wanaojua kutafsiri ujumbe wa picha tafadhali watusaidie hasa pale kwenye emoji ya pili kutoka mwisho.
Aucho akawapa jawabu na akaenda zake.
Baada ya lisaa baadae akaingia twitter na kupost hii picha ambayo mimi binafsi aijui inamaanisha nini.
Kwa wanaojua kutafsiri ujumbe wa picha tafadhali watusaidie hasa pale kwenye emoji ya pili kutoka mwisho.