hector
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 217
- 719
🤣🤣🤣Hata tukiujua ukweli haitosaidia mana hazina ya taifa imeshaondoka, wamebaki Watz wachache wanaoendekeza siasa wakishangilia japo mda utafika wataelewa walikuwa wapumbavu kiasi gani, mana unakuta mtu anamchukia Magu kisa hajaongeza shilingi elfu 50 kwenye kamshahara kake anasahau kwamba mwamba alikuwa anapigania aje kupata mara 100 ya hiyo elfu 50.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba Magufuli alikuwa anapambaniia wafanyakazi waje wapate mara 100 ya mishahara yao..hahahahah
Yaani kashindwa kuongeza ata sent tano ndani ya miaka 6 ndo aje awaongezee mara 100 ndani ya miaka minne iliyokuwa imebaki 🤣🤣🤣
Kweli mlikuwa mko brainwashed...kijana unasikitisha sana kama uliyoyaandika hapa unayamaanisha kweli. Daah