Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Naunga mkono hojaBasi wengi walikua punguani
Naunga mkono hojaBasi wengi walikua punguani
Mkuu umesahau adui wa maendeleo ya nchi yetu ni "ujinga, umaskini na maradhi?", Ili awe adui ni lazima awe tishio. Siyo mchezo wengi ni wajinga, wengi ni maskini kama ilivyo wengi ni wagonjwa!.Basi wengi walikua punguani
Na wezi lazima wampende mwizi mwenzao. Naunga mkono hojaVichaa lazima wampende kichaa mwenzao
AhahahahahahVichaa lazima wampende kichaa mwenzao
Wale wenye mihemuko watakuja kupinga huku wakirusha povu kaliMtu yoyote mwenye akili timamu lazima aguswe na kifo cha shujaa Magufuli.
Na vichaa 40 kutoka CCM sio ajabuKwenye taifa la watu milioni 60 kupata punguani milioni 2 kutoka ufipa si ajabu
Na pia ni yeye aliemnyang'anya kwa kuruhusu uchafuzi badala ya uchaguzi!Hahahahha kwangu huwaga namkubali sana huyu mama
Nadhani alikuwa akifanya hivyo huku akijua dhahiri kuwa jamii inamwona, hatujui aidha ni moyo au show off
kumbuka mwendazake ndiye aliyetengeneza mchongo wa bidada kurejea mjengoni
Huyu ndugu kaiweka njia panda sana nchi. Mama Samia anatamani vitu kadhaa vibadilike lakini wakati huo huo anaogopa kuonekana kama anamkosoa mtangulizi wake na kuwaudhi ndugu zangu na washikaji zake akina Lusinde, Msukuma, Job, n.k. Kwa kweli ameiweka nchi kwenye mtanziko mkubwa. Mama Samia hana raha kabisa. Kambi ya Mwendazake imeanza kuwatuhumu baadhi ya viongozi wa awamu hii ya Samia kwamba walimpa sumu jamaa yao huyu. Kwa kweli tunapaswa kuwa makini sana na tunayempa aiongoze nchi.Halima alikuwa na 'personal friendship'na Hayati? Naona kama alikuwa ameguswa Sana
Hakuonesha chuki yeyote kulinganisha na 'wapinzani ' wengine..hata kama aliwahi kaa rumande Kwa kesi zisizo kuwa na kichwa wala miguu..
Hii picha unaitafsiri vipi?View attachment 1760960
Siasa sio chuki. Chuki mnazo nyie washabiki..Halima alikuwa na 'personal friendship'na Hayati? Naona kama alikuwa ameguswa Sana
Hakuonesha chuki yeyote kulinganisha na 'wapinzani ' wengine..hata kama aliwahi kaa rumande Kwa kesi zisizo kuwa na kichwa wala miguu..
Hii picha unaitafsiri vipi?View attachment 1760960
Shujaa wa kizamani wetuMtu yoyote mwenye akili timamu lazima aguswe na kifo cha shujaa Magufuli.
Punguani lazima aandike hivi.Mtu yoyote mwenye akili timamu lazima aguswe na kifo cha shujaa Magufuli.
Mnafiki mmoja mkubwa sana uyoHalima alikuwa na 'personal friendship'na Hayati? Naona kama alikuwa ameguswa Sana
Hakuonesha chuki yeyote kulinganisha na 'wapinzani ' wengine..hata kama aliwahi kaa rumande Kwa kesi zisizo kuwa na kichwa wala miguu..
Hii picha unaitafsiri vipi?View attachment 1760960
Halima, kashaondoka huyo, Cha msingi kwako ni huo ubunge wako unategemea hisani ya Mama Samia - Maana wewe na mwendazake mkishirikiana na Spika mmevunja KATIBA ya nchi - msifikiri tumesahau kikao chenu cha usiku pale Dodoma kupapnga njama ili mfanye usaliti.Halima alikuwa na 'personal friendship'na Hayati? Naona kama alikuwa ameguswa Sana
Hakuonesha chuki yeyote kulinganisha na 'wapinzani ' wengine..hata kama aliwahi kaa rumande Kwa kesi zisizo kuwa na kichwa wala miguu..
Hii picha unaitafsiri vipi?View attachment 1760960