Bwabwa hii mbaya eee.. +254 kazi kwenu...Picha hii imewekwa kwenye akaunti yao ya Twitter huku wakiweka caption isomekayo Sauti Sol Family.
Maswali yameibuka kuwa mbon akuna Mwanaume na Mwanaume je nao ni wapenzi kama hao wa jinsia tofauti?
Kwa muda mrefu zimekuwepo taarifa za mmoja wa wanakikundi hiki cha muziki kutoka Kenya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Muacheni na maisha yake,but hata huo ushahidi hamnao why mnamsakama?Wenzake wako na watoto warembo hivyo, yeye anaukatikia wa mzungu, dah!
Usiku kama huu unafukua nyuzi za ngono, mumeo kasafiri? Sema wadaka chozi wapo wengi.
Eboooooh khaaah wee vipi?Mkuu ulikua una bisha na chakula... ndio maana anasema hawezi ongeza chochote isitoshe kusema huyo cocastic ni chakula piaa...
Wezake watakula wapi, akipingwa risasi? Ujui kwamba wezio wakiwa hukoooo... wezio wanakulaTandika risasi huyo kenge, muziki utamshinda sasa asubiri kuolewa tu