Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,159
Kwa hiyo ulitaka awafanyaje? Kwanza faragha za watu unazijuaje kama sio kukosa kazi.Kwamba hata mkeo au mwanao akiwa anafukuliwa mtaro unamwacha tu kwa vile ni maisha binafsi si ndio hivyo?
Kwa hiyo ulitaka awafanyaje? Kwanza faragha za watu unazijuaje kama sio kukosa kazi.Kwamba hata mkeo au mwanao akiwa anafukuliwa mtaro unamwacha tu kwa vile ni maisha binafsi si ndio hivyo?
SafiiiiiiStakagi mambo ya kuniumiza kichwa, kila mtu awe apendavyo hapa duniani, mi I don't care kweli
Kitendo cha kuanza 'kuimagine' tayari ni dalili ya kua you wish, ila umekosa courage tu, lol.Jamaa kafeli sanaaaa imagine mwanaume unakatikia rungu la mwanaume mwenzako
Kuna mgombea mmoja wa urais tz kasema na BBC HARD TALK kuwa atawatetea, kuwalinda, na kufuta sheria zote zinazowazuia watu wa jinsia moja kupelekana kwampalange!! kazi kwenu.I see!! Kama ni kweli its so sad. Mungu tunusuru
😀😀😀😀Usipingane na nature Bibi wee🤭Stakagi mambo ya kuniumiza kichwa, kila mtu awe apendavyo hapa duniani, mi I don't care kweli
We jamaa ni gey just admit itKitendo cha kuanza 'kuimagine' tayari ni dalili ya kua you wish, ila umekosa courage tu, lol.
Lets admit it together, 1..... 2......3.....We jamaa ni gey just admit it
Chief, huyo unayejibizana nae nimewahi kuona mahali wakimtuhumu kuwa ni mchele kibua. Kwahiyo yaweza kuwa unachokifanya ni kama kumpelekea fisi kesi ya kondoo.Mimi bado naona unacho cha kuongeza inamaana wewe unaona ni sahihi kabisa mwanaume kufanya mapenzi ya jinsia moja au mwanamke kufanya mapenzi ya jinsia moja? Hebu fikiria vizuri kisha uje na jibu sahihi
😂😂😂Sawa mzee umeshinda 🙌Lets admit it together, 1..... 2......3.....
😂😂😂😂😂Duuu kweli wabongo wape picha maelezo wataleta wao
Kila mtu anaona sahihi kwake kulingana ma matakwa ya hitaji lake, usitake mtazamo na fikra au mapendekezo yako basi yawe sawa wengine, haiwezekan kamwe.Mimi bado naona unacho cha kuongeza inamaana wewe unaona ni sahihi kabisa mwanaume kufanya mapenzi ya jinsia moja au mwanamke kufanya mapenzi ya jinsia moja? Hebu fikiria vizuri kisha uje na jibu sahihi
Zaa wa kwako halafu awe punga ndo utaelewa.Kitendo cha kutaka wote muone utamu wa mwanamke ndio kupangiana maisha huko.... amechagua njia yake inayompa utamu.
Yeah ni maisha yake binafsi ambayo kachagua kua nayo, hivyo sina ruksa ya kumuingilia wala kumzuia, na haibadilishi uhalisia kua km n ndugu Yang au mtu wangu wa karibu.Kwamba hata mkeo au mwanao akiwa anafukuliwa mtaro unamwacha tu kwa vile ni maisha binafsi si ndio hivyo?
Kwahiyo huyo unae msema n punga akichanwa hicho ulichokitaja wee una athirika vipi? Ishi maisha yako binafsi, ya wengine hayakuhusu khaaaah.Punga hilo achana nalo walichane puru
Wanaume ni wanafiki hata Yuda anasubiri, khaaaahWaliopandwa na hasira ukifatilia wanaume ni wengi afu wafiraji.Mwachieni mtu kijambio chake.Ombea familia yako.
Muwe mnatoa hoja thabiti na dhahiri, ila sio mna hemkwa na hisia zenu, khaaaaah kila mtu ana haki ya kuamua life style binafsi, pasipo kuingiliwa wala kuzuiliwa ili hali haiathiri kanuni, taratibu na sheria.Chief, huyo unayejibizana nae nimewahi kuona mahali wakimtuhumu kuwa ni mchele kibua. Kwahiyo yaweza kuwa unachokifanya ni kama kumpelekea fisi kesi ya kondoo.
Mifiraji na inapigia debe ufiraji.Then wanaumizwa na kijambio cha mwenzao.Wanaume ni wanafiki hata Yuda anasubiri, khaaaah