Hii picha sijaelewa kabisa walimaanisha nini??

data

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
26,138
22,709
Screenshot_2017-01-01-07-07-32.png
 
Wamemjibu Uhuru Kenyatta. Aliweka picha ya Mlima Kilimanjaro Kama hivyo Halafu akaweka salaam za Xmas Na mwaka mpya. I think ili kuonesha mount Kilimanjaro uko Tz Magu nae akaweka hivyo.
Just thinking

Haupo mbali na ukweli....hasa ukichukulie attitude ya mkuu wetu.....
 
Wamemjibu Uhuru Kenyatta. Aliweka picha ya Mlima Kilimanjaro Kama hivyo Halafu akaweka salaam za Xmas Na mwaka mpya. I think ili kuonesha mount Kilimanjaro uko Tz Magu nae akaweka hivyo.
Just thinking
Hivi itakuwa iliandaliwa Ikulu kabisa !
 
Kuna shida mahala..... Sura ya Rais ilibidi iwe katikati. Alafu haoo wanyama na hiyo ndege !!!?????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom