Hii picha kila niitizamapo moyo hupata maumivu. Nini ilikuwa hatma ya huyu kijana?

Niseme ukweli. Kila inapotikea nikatizama hii picha moyo wangu unapata ganzi, unapata kifafa na kupoteza midundo yake ya kawaida. Mwishowe naona kama moyo unapodunda kwa kutanuka unaenda choma kitu chenye ncha kali hivyo najaribu kupumua kwa kubana pumzi ili nisiuruhusu ukaguse kitu hicho chenye ncha kali.

Huyu kijana wa CDM katika picha. Ni nini ilikuwa hatma ya maisha yake siku hii ya tukio hili? Aliponaje? Ilikuwaje akashambuliwa na watu ambao wengine ni umri wa baba yake. Wengine ni kaka zake.

Why wampige mawe hivi kama nyoka? Mtizame yule mzee kule amebeba tofali kubwa unajiuliza hivi alikusudia nini kwa kijana huyu ambaye hajabeba hata fimbo?

Waafrika bado wana Unyani. Usibishe. Wana unyani mwingi tu sababu kwa akili za kawaida haiwezekani kufanya hivi.
View attachment 1345563
Hii ilikuwa Dodoma, hapo walioshiriki wanafahamika lakini hakuna hatia zozote zilizochukuliwa, ukiiangalia picha vizuri utamuona mwanasimba maarufu kati yao. Wangekuwa Chadema wote wangekamatwa na chama kufutwa.
 
Hivi ndivyo ilivoanza siku hiyo, wahuni walipotaka kung'oa bendera ya Chadema huko Dodoma...

View attachment 1346095

Vurugu zilizuka baada ya wafuasi wa Chadema kuwataka wenzao wa CCM waendelee na mkutano katika eneo hilo kwa sharti la kurejeshwa kwa bendera iliyong'olewa. Wafuasi wa vyama hivyo wakiwamo wabunge wa CCM walionekana wakivutana kunyang'anyana mti wa bendera.

"Baada ya CCM kugoma, Chadema walijaribu kurudisha bendera hiyo kwa nguvu, jambo ambalo lilifanya wafuasi wa CCM waanze kuokota mawe na kuwarushia wapinzani wao hao, huku Chadema nao walianza kujibu mapigo," alisema mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo.

Baadhi ya wabunge wa CCM walioshiriki katika vurugu hizo na majimbo yao kwenye mabano ni Ismail Aden Rage (Tabora Mjini), Nyambari Nyangwine (Tarime), Seleman Jafo (Kisarawe), Said Mtanda (Mchinga) na Mary Chatanda (Viti Maalumu).

Baadhi ya wafuasi wa CCM walionekana wakibeba mawe na kuwapiga wenzao wa Chadema na kusababisha tafrani kubwa katika eneo hilo la mkutano.
Hivi Nyambari Nyangwine amepotelea wapi na vitabu vyake feki vya kufundishia ? hakika elimu ya Tanzania imepata misukosuko sana .
 
Hii ilikuwa Dodoma, hapo walioshiriki wanafahamika lakini hakuna hatia zozote zilizochukuliwa, ukiiangalia picha vizuri utamuona mwanasimba maarufu kati yao. Wangekuwa Chadema wote wangekamatwa na chama kufutwa.
2295457_manachadema-ashambuliwa.jpg

2295462_mwanahadema-ashambuliwa2.jpg
 
Mkuu hebu fafanua, hii ni picha ya kweli au edited one ?, na je (kama ni ya kweli) ilitokea eneo gani la nchi hii ?, nini kilifuata baada ya hapo ?, maana sidhani kama walimkosa, hao majuha wanapatikana ccm peke yake


Mkuu basi wakat wa uchaguz hukuwepo jf! Sio edited hii
 
Niseme ukweli. Kila inapotikea nikatizama hii picha moyo wangu unapata ganzi, unapata kifafa na kupoteza midundo yake ya kawaida. Mwishowe naona kama moyo unapodunda kwa kutanuka unaenda choma kitu chenye ncha kali hivyo najaribu kupumua kwa kubana pumzi ili nisiuruhusu ukaguse kitu hicho chenye ncha kali.

Huyu kijana wa CDM katika picha. Ni nini ilikuwa hatma ya maisha yake siku hii ya tukio hili? Aliponaje? Ilikuwaje akashambuliwa na watu ambao wengine ni umri wa baba yake. Wengine ni kaka zake.

Why wampige mawe hivi kama nyoka? Mtizame yule mzee kule amebeba tofali kubwa unajiuliza hivi alikusudia nini kwa kijana huyu ambaye hajabeba hata fimbo?

Waafrika bado wana Unyani. Usibishe. Wana unyani mwingi tu sababu kwa akili za kawaida haiwezekani kufanya hivi.
View attachment 1345563
Labda ilikuwa ni Photoshop si kweli Hili tukio
 
Mkuu unajua chuki ya kiwango hicho katika picha ipo tu miongoni mwa wanachama wa kawaida wa vyama..bungeni wabunge na viongozi wa vyama tofauti wana ushkaji sana..canteen utakuta wanakaa pamoja wanapiga story au kwenye hotel za Dom ukiwakuta wanapiga story huwezi amini ni vyama tofauti!! Sisi akina yakhe huku kitaa ndio tunafanyiana chuki na roho mbaya kisa uvyama!!

Zamani ilikuwa hivyo. Sasa hivi huo ushikaji unaouzungumzia haupo tena bungeni na nje ya bunge.

Amandla........
 
Sisi watz ni wajinga sana haya mambo yapo hata kwenye mpira mtu wa simba na yanga ni maji na moto sjui hata ni nani alituloga kwan kutofautiana mitazamo na mawazo na imani mbona ni kitu cha kawaida yaani tunataka kila mtu awe upande wetu sio lahis kuwa hivo lazima kujifunzw kukubaliana na kila mtu kuwaza au kuamini na kupenda atakacho yy mwenyewe. Kwani inatupunguzia nn
Upo sahihi kabisa mkuu.
 
Huyo jamaa nilikutana nae 2016 dodoma pale majego sokoni kwenye kijiwe chake cha bodaboda, niliwahi kumwonyesha hiyo picha anayo tishiwa kupigwa mawe alikuwa anacheka tu , ni mpole sana huyo jamaa.
 
Nasikia huyu kijana walimuua wakamzika palepale Lumumba,wakaanza kupongezana,huyo mwenye jiwe kubwa ndio alimmalizia jamaa,
 
Niseme ukweli. Kila inapotikea nikatizama hii picha moyo wangu unapata ganzi, unapata kifafa na kupoteza midundo yake ya kawaida. Mwishowe naona kama moyo unapodunda kwa kutanuka unaenda choma kitu chenye ncha kali hivyo najaribu kupumua kwa kubana pumzi ili nisiuruhusu ukaguse kitu hicho chenye ncha kali.

Huyu kijana wa CDM katika picha. Ni nini ilikuwa hatma ya maisha yake siku hii ya tukio hili? Aliponaje? Ilikuwaje akashambuliwa na watu ambao wengine ni umri wa baba yake. Wengine ni kaka zake.

Why wampige mawe hivi kama nyoka? Mtizame yule mzee kule amebeba tofali kubwa unajiuliza hivi alikusudia nini kwa kijana huyu ambaye hajabeba hata fimbo?

Waafrika bado wana Unyani. Usibishe. Wana unyani mwingi tu sababu kwa akili za kawaida haiwezekani kufanya hivi.
View attachment 1345563
Maçcm ni mashwetani
 
Back
Top Bottom