Hii picha inafikirisha sana, na wahusika sijui wanajisikiaje!

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,985
1595955494634.png
 
huyo jamaa kapigwa risasi 25+ kafanyiwa sijui oparesheni 30 na bado yupo hai anatembea.mkapa kaumwa siku moja tu kafariki.
acha kumlinganisha Mkapa na huyo tumia akili zako wewe jinga. Jitu zima unashindwa kutumia akili. Unamlinganisha mpaka na huyo. Wamelingana kwa umri? Yaani unaweza kuonekana mkubwa lkni kichwani zudaduye.

Mkapa anamiaka mingapi? na huyo ana mpaka mingapi?
 
Inahudhunisha sana kwa hicho moja; ila kwa hicho jingine ukiona hivi basi tambua kwamba safari inakaribia kufika mwisho.... pambazuko!!

Mafanikio yoyote huja ila kabla lazima wachache waumie mno!!
 
Huyo alijitakia mwenyewe kwa ujinga wake na familia yake. Mtu mwenye akili sawawa na una familia inayokutegemea huwezi fanya siasa za kijinga jinga hivyo. Ukifuata mihemko unadundwa vilivyo. Siasa ni ART wewe unaigeuza kuwa physical subject unaishia pabaya.
“It’s never easy” Tundu Lissu said it yesterday.
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom