Hii picha ina ukweli wowote kwa kinachoendelea Gaza Israel

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,029
IMG_20210513_104507.jpg


Hamas,fatah na Palestine organisation siraha zao huziweka kwenye makazi ya watu,hata wakitaka kufanya mashambulizi,rocket launcher zao huzifyaturia kwenye makazi ya watu wengi,Ili watu hao na makazi yatumike kama ngao dhidi ya Israel,wao hutegemea wakiwaweka Raia wakawaida mbele,Israel atashindwa kuwaahambulia
 
Hivi kwanini pande zote zisishambuliwe na jumia ya kimataifa kama kule hiroshima na nagasaak ili ukanda huo utulie? Maana wamezidi kutunishiana misuli
'Hawatokubali mayahudi na manasara mpaka mfuate mila zao' ugomvi wa juzi ulianza pale mayahudi walipovaamia mskiti wa Al-Aqsa kuwazuia watu katika ardhi yao kutosali ndio kilifuata kilichotokea
 
Mpalestina anajificha ndani ya raia wema ndio maana ni kazi kummaliza, ila mpalestina hajali cha raia wema wala nani analipua tu

Acheni propaganda zenu zisizo kuwa na kichwa wala miguu, jifunzeni historia ya kweli kuhusu mashariki ya kati specifically Eneo lililokuwa linajulikana kama Palestina chini ya ukoloni wa Uingereza.

Sasa kwa taarifa yako hakuna Taifa lililo kuwa linajulikana kwa jina la Israel kabla ya mwaka 1949 likumbuke sana hilo - Israel ilizaliwa baada ya Umoja wa Mataifa ku-annex eneo dogo la nchi ya Palestina na kuwapatia Wayahudi waliikuwa wamezagaa Dunia nzima, si wote walio kubali kuja Israel kuishi. Sasa nini kilitokea baada ya Wayahudi kupewa nchi, walianzisha udhalimu na ukatiri wao wa asili wa kuwaua Waarabu, kuwahamisha kinguvu Waarabu kutoka kwenye maeneo yao ya asili - waarabu wakawa wakimbizi kwa kuhama nchini mwao kwenda kuishi uhamishoni (kambi ya wakimbikizi) - Wayahudi wakaendeleza ubabe wao wa kujenga makazi kwenye maeneo ya Waarabu na kujipanua as if waarabu do not matter!!! Wanafanya ushenzi huu wa kikaburu huku wakikingiwa kifua na Serikali ya Kimerikani miaka nenda rudi.

Chukulia mgogoro/vita inayo endelea hivi sasa baina ya Hamasi na Wayahudi - nani ka-instigate vita hii kama siyo Wayahudi wenyewe na ujeuri wao - walitaka kuwahamisha waarabu kutoka kwenye makazi yao halali huko Jerusaleem na kuwatupa wapi sijui? Walitaka nyumb/makazi ya Waarabu wahamishiwe walowezi wa Kiyahudi - akili gani hizi??
 
Israel has right to protect its country.i stand with Israel against terrorism
Mark you, once upon a time western media and their leadership used to refer to Nelson Mandela and Mahtima Ghandi as seasoned terrorists - unfortunately you seem to emulate western dirty campaign to the letter kwa kuwabatiza wapigania uhuru wa Kipalestina kwamba ni ma terrorist - we mswahili unawezaje ku-support mijitu mikatiri/mikaburu type ya Wayahudi, unatafuta nini unataka Amerika ikuone wewe wa maana kwa kuunga mkono wabaguzi wa Kiyahudi, uba wajibu wa kuunga mkono watu wanao taka kujikomboa hiyo ndio hulka ya Watanzania.
 
Mpalestina anajificha ndani ya raia wema ndio maana ni kazi kummaliza, ila mpalestina hajali cha raia wema wala nani analipua tu
Mbona huyo israel hawamilizi hao wapalestina? Hitla sijui kwanini aliwabakisha hawa viumbe
 
Hamas,fatah na Palestine organisation siraha zao huziweka kwenye makazi ya watu,hata wakitaka kufanya mashambulizi,rocket launcher zao huzifyaturia kwenye makazi ya watu wengi,Ili watu hao na makazi yatumike kama ngao dhidi ya Israel,wao hutegemea wakiwaweka Raia wakawaida mbele,Israel atashindwa kuwaahambulia kwa kuogopa kukalipiwa na jumuiya ya kimataifa,
Sasa hv Israel anawatwanga tu,haijalishi umeweka mtoto mdogo,au mzee
 
Mbona huyo israel hawamilizi hao wapalestina? Hitla sijui kwanini aliwabakisha hawa viumbe
Walishaanza kuishika ujerumani, achana kabisa na huyu mu Israel, Ikabidi Hitler atumie tu mabavu kuwatoa akiogopa wa israel watachukua nchi, Maana walikuwa na maendeleo kwa spidi ya radi
 
Back
Top Bottom