Hata nyie mpunguze dhulmaPunguza chuki
Hata nyie mpunguze dhulmaPunguza chuki
Bwabwaja tu ila wayahudi ninawaelewa sana. Kazi yao nzuri. Angalia picha hiyo utaelewa nani ana akili na nani mjinga.Mark you, once upon a time western media and their leadership used to refer to Nelson Mandela and Mahtima Ghandi as seasoned terrorists - unfortunately you seem to emulate western dirty campaign to the letter kwa kuwabatiza wapigania uhuru wa Kipalestina kwamba ni ma terrorist - we mswahili unawezaje ku-support mijitu mikatiri/mikaburu type ya Wayahudi, unatafuta nini unataka Amerika ikuone wewe wa maana kwa kuunga mkono wabaguzi wa Kiyahudi, uba wajibu wa kuunga mkono watu wanao taka kujikomboa hiyo ndio hulka ya Watanzania.
Nani ana bwabwaja? You damned silly fool huna hata ustaarabu wa ku-agree to disagree without offending anyone - wewe mswahili wa hapa bongo ndio ujifanye unawajua vizuri Wayahudi like back of your hand? Come on!!Bwabwaja tu ila wayahudi ninawaelewa sana. Kazi yao nzuri. Angalia picha hiyo utaelewa nani ana akili na nani mjinga.
Acha kupotosha na wewe wote hapa tuna jua kuwa walikuwa hawa wataki wa islaeli hapo pia arab pia ndo walianzisha vita juu ya islaeli.mkuu umepotosha hapoAcheni propaganda zenu zisizo kuwa na kichwa wala miguu, jifunzeni historia ya kweli kuhusu mashariki ya kati specifically Eneo lililokuwa linajulikana kama Palestina chini ya ukoloni wa Uingereza.
Sasa kwa taarifa yako hakuna Taifa lililo kuwa linajulikana kwa jina la Israel kabla ya mwaka 1949 likumbuke sana hilo - Israel ilizaliwa baada ya Umoja wa Mataifa ku-annex eneo dogo la nchi ya Palestina na kuwapatia Wayahudi waliikuwa wamezagaa Dunia nzima, si wote walio kubali kuja Israel kuishi. Sasa nini kilitokea baada ya Wayahudi kupewa nchi, walianzisha udhalimu na ukatiri wao wa asili wa kuwaua Waarabu, kuwahamisha kinguvu Waarabu kutoka kwenye maeneo yao ya asili - waarabu wakawa wakimbizi kwa kuhama nchini mwao kwenda kuishi uhamishoni (kambi ya wakimbikizi) - Wayahudi wakaendeleza ubabe wao wa kujenga makazi kwenye maeneo ya Waarabu na kujipanua as if waarabu do not matter!!! Wanafanya ushenzi huu wa kikaburu huku wakikingiwa kifua na Serikali ya Kimerikani miaka nenda rudi.
Chukulia mgogoro/vita inayo endelea hivi sasa baina ya Hamasi na Wayahudi - nani ka-instigate vita hii kama siyo Wayahudi wenyewe na ujeuri wao - walitaka kuwahamisha waarabu kutoka kwenye makazi yao halali huko Jerusaleem na kuwatupa wapi sijui? Walitaka nyumb/makazi ya Waarabu wahamishiwe walowezi wa Kiyahudi - akili gani hizi??
Waulize wapalestina! Sie tupo EA!Hii ndio ya leo telaviv ambayo ina ukweli View attachment 1782955
Sio unafiki I see! Huwezi ingilia vita usiyoweza kushinda😜!wachapane weee kisha badae watahishimiana.
ila hamasi wamepigika! nao sas zamu yao kujibu mapigo ya kiutu uzima
kinacho waumiza wapalestina ni UNAFIKI WA NCHI ZA KIARABU.
How many times must I repeat myself? Nimesema someni historia ya kweli kuhusu Taifa la Kipalestina kabla ya mwaka 1948 na nini kilikuja kutokea baada ya Umoja wa Mataifa ku-annex sehemu ya eneo la Palestina na kuundwa Taifa la Israel - narudia kukushauri husiwe biased maintain your cool.Acha kupotosha na wewe wote hapa tuna jua kuwa walikuwa hawa wataki wa islaeli hapo pia arab pia ndo walianzisha vita juu ya islaeli.mkuu umepotosha hapo
Sisi akina nani sasa ?Hata nyie mpunguze dhulma
Je, kabla ya hao wayahudi kusambaa duniani awali walikuwa wanaishi wapi? Asili ya wayahudi ni wapi? Babu zao waliishi wapi?Acheni propaganda zenu zisizo kuwa na kichwa wala miguu, jifunzeni historia ya kweli kuhusu mashariki ya kati specifically Eneo lililokuwa linajulikana kama Palestina chini ya ukoloni wa Uingereza.
Sasa kwa taarifa yako hakuna Taifa lililo kuwa linajulikana kwa jina la Israel kabla ya mwaka 1949 likumbuke sana hilo - Israel ilizaliwa baada ya Umoja wa Mataifa ku-annex eneo dogo la nchi ya Palestina na kuwapatia Wayahudi waliikuwa wamezagaa Dunia nzima, si wote walio kubali kuja Israel kuishi. Sasa nini kilitokea baada ya Wayahudi kupewa nchi, walianzisha udhalimu na ukatiri wao wa asili wa kuwaua Waarabu, kuwahamisha kinguvu Waarabu kutoka kwenye maeneo yao ya asili - waarabu wakawa wakimbizi kwa kuhama nchini mwao kwenda kuishi uhamishoni (kambi ya wakimbikizi) - Wayahudi wakaendeleza ubabe wao wa kujenga makazi kwenye maeneo ya Waarabu na kujipanua as if waarabu do not matter!!! Wanafanya ushenzi huu wa kikaburu huku wakikingiwa kifua na Serikali ya Kimerikani miaka nenda rudi.
Chukulia mgogoro/vita inayo endelea hivi sasa baina ya Hamasi na Wayahudi - nani ka-instigate vita hii kama siyo Wayahudi wenyewe na ujeuri wao - walitaka kuwahamisha waarabu kutoka kwenye makazi yao halali huko Jerusaleem na kuwatupa wapi sijui? Walitaka nyumb/makazi ya Waarabu wahamishiwe walowezi wa Kiyahudi - akili gani hizi??
How many times must I repeat myself? Nimesema someni historia ya kweli kuhusu Taifa la Kipalestina kabla ya mwaka 1948 na nini kilikuja kutokea baada ya Umoja wa Mataifa ku-annex sehemu ya eneo la Palestina na kuundwa Taifa la Israel - narudia kukushauri husiwe biased maintain your cool.
Acheni propaganda zenu zisizo kuwa na kichwa wala miguu, jifunzeni historia ya kweli kuhusu mashariki ya kati specifically Eneo lililokuwa linajulikana kama Palestina chini ya ukoloni wa Uingereza.
Sasa kwa taarifa yako hakuna Taifa lililo kuwa linajulikana kwa jina la Israel kabla ya mwaka 1949 likumbuke sana hilo - Israel ilizaliwa baada ya Umoja wa Mataifa ku-annex eneo dogo la nchi ya Palestina na kuwapatia Wayahudi waliikuwa wamezagaa Dunia nzima, si wote walio kubali kuja Israel kuishi. Sasa nini kilitokea baada ya Wayahudi kupewa nchi, walianzisha udhalimu na ukatiri wao wa asili wa kuwaua Waarabu, kuwahamisha kinguvu Waarabu kutoka kwenye maeneo yao ya asili - waarabu wakawa wakimbizi kwa kuhama nchini mwao kwenda kuishi uhamishoni (kambi ya wakimbikizi) - Wayahudi wakaendeleza ubabe wao wa kujenga makazi kwenye maeneo ya Waarabu na kujipanua as if waarabu do not matter!!! Wanafanya ushenzi huu wa kikaburu huku wakikingiwa kifua na Serikali ya Kimerikani miaka nenda rudi.
Chukulia mgogoro/vita inayo endelea hivi sasa baina ya Hamasi na Wayahudi - nani ka-instigate vita hii kama siyo Wayahudi wenyewe na ujeuri wao - walitaka kuwahamisha waarabu kutoka kwenye makazi yao halali huko Jerusaleem na kuwatupa wapi sijui? Walitaka nyumb/makazi ya Waarabu wahamishiwe walowezi wa Kiyahudi - akili gani hizi??