Rasmi la Katoliki. Mengine yalikuwepo.Kanisa Rasmi lilianzia Bwagamoyo mwaka 1868
Ukisoma hiki kitabu kimeeleza vizuri; The Anglican Communion at a Crosswords, The Crises of Global Church
Huyo anazungumzia ukatoliki wakeUkisoma hiki kitabu kimeeleza vizuri; The Anglican Communion at a Crosswords, The Crises of Global Church
Kanisa Rasmi lilianzia Bwagamoyo mwaka 1868
Kanisa Rasmi lilianzia Bwagamoyo mwaka 1868
Kwani mwaka 1843 ilikua Tanzania ishazaliwa naomba munijibu?
Tanganyika nayo ilikuwa bado,ilkua ikiitwa MrimaIlikuwa Tanganyika
Mrima ni Daru Salaam ya leoTanganyika nayo ilikuwa bado,ilkua ikiitwa Mrima
Kwani watu huelimika kwa kuwepo tu shule katika eneo lao?Chakushangaza shule ya kwanza imeanza kwao muheza ila wapo nyuma kielimu kuliko maeneo mengine yaliyofuata kupata shule
watu walikuwa hawajui lolote kuhusu Dini .....ilikuwa ni mwendo wa kuabudu mizimu ya koo.