Hii picha ilipigwa 1910 mitaa ya Poplar East London. Wakati huo si barabara zote za London zilikua na lami

Zimbabwe enzi hizo Harare ikiitwa Sulsbury(kama nimepatia), mji ulikuwa msafi kama miji mingine ya ulaya, lakini alipokabidhiwa mwafrika kila kitu kwishney.
SI kweli zimbabwe na Africa kwa ujumla wetu tuna baniwa sana!! kwa kila kitu!! Misri yetu walipora wao!! wakachukua kila kitu!! na maendeleo yalikuwa Africa - Particulary Misri, Levant, Libya ndo sisi wusi tuliko kuwa huko!

Maendeleo yao yametokea AFRica! Naomba tu watuache miaka 25 tu bila kutugusa! kwa misaada wala vita km ya Boko haramu, alshaabab, isil, uone balaa lake!! hatuta shikikika!!

Angalia miaka 60 tu ya uhuru Bongo hiyooo!!migorofa mijiumeme! kuzaana bin kupigana miti haooo! tumejaa! lkn wao wamekaa humu miaka 2oo! hkn kitu walicho fanya!

kwa nini ulaya walipo pigana vita walielekea kusini mwa Ulaya bana? ina maana walitaka mazuri yaliyoko huku Misri,zamani ilitambaaa mpaka kusini ilikuwa ni Masri tu au Khemet! ukitaka! ilikuwa ni nchi moja kuuubwa!! wao wakatugawa!
 
Halafu population yao ni 67 millions
Tuko sawa na tunawazidi vitu vingi kasoro uchumi wametuacha mbali sana
Wakati kila kitu tunacho

Wana supermarkets kubwa zaidi ya 4000 nchi nzima
Sisi maneno mengi kuliko vitendo, unakuta mtu anajipambanua Engeneer amesoma Harvard University, Professor sijui nani lakini hajawahi wala hajui hata kushika randa akachonga kigoda cha jikoni
 
Sisi maneno mengi kuliko vitendo, unakuta mtu anajipambanua Engeneer amesoma Harvard University, Professor sijui nani lakini hajawahi wala hajui hata kushika randa akachonga kigoda cha jikoni

Nataka kucheka ila nashindwa
Inahuzunisha sana maana hao hao wanaojiita wataalamu hawana habari ya kujaribu kufanya ya maana kwa nchi
Mpaka watoto wao watawaacha hivyo hivyo wakiwa sana sana wamewasomesha kwa hela za michongo

Nimeangalia Mexico miaka zaidi ya 2000 walipotengeneza bustani juu ya maji (ziwani) ambapo ndio wanaosambaza mbogamboga zaidi ya 40,000 tons kwa mwaka

Ila kwetu leo unamkamata Mchina uliemruhusu alime pembezoni mwa mto na vibali umempa

Kweli tuna wasomi waliokariri

Natamani wote hao hiyo mitihani waliyopasi kwa kizungu ibadilishwe kiswahili kama watapata hata 10%
 
Ila kwetu leo unamkamata Mchina uliemruhusu alime pembezoni mwa mto na vibali umempa

Kweli tuna wasomi waliokariri
Kuna viongozii wavivu kufikiri, wanasubiri majanga yatokee ndipo wajitokeze majukwaani kujionyesha kuwa wanafanya kazi na maneno mengiiiii! Hawajui kuwa uongozi ni kufikiria ya sasa and beyond, wao walitakiwa kuweka mipango ya uwepo wa maji katika hali zote badala ya kusubiri ukame uje ndipi waanze kukimbizana na watu. Sielewi wanaichukuliaje TMA, hii mamlaka ilitangaza kutakuuwa na uhaba wa mvua tangu July kama sijakosea, lakini viongozi hawakutumia taarifa hizo kujipanga. Ifike wakati nafasi za uongozi ziombwe badala ya kupeana bila kuzingatia uwezo.
 
Miaka hiyo watu walisha kua na ustaarabu wa aina hiyoo,miaka mia baadae sisi hatuja fikia walipokua
Waingereza achana nao kabisa. Hao huwezi kuwalinganisha na sisi tofauti baina yetu ni sawa na mbingu na ardhi. Hao ardhi yao waliipima na kuithaminisha toka mwaka 1066 wakati wa uvamizi wa Normans takriban miaka elfu moja iliyopita. Sisi hadi leo tunaishi kwenye skwata kupima tu ardhi na kuboresha makazi yetu tunashindwa.
 
Sky this is very interesting, 1910 is very recent! Leo UK wamepiga hatua sana sana katika interval hiyo ndogo, Sisi tunakwama wapi?

Mkuu Uingereza imeendelea toka kipindi cha High Middle Ages huko karne ya 15. Mapinduzi ya kilimo walifanikisha mwaka 1688 wakiwa na zana bora za kilimo na uzalishaji wa hali juu. Kwenye karne ya 15 tayari walikuwa na mapinduzi ya biashara na makampuni yanayofanya biashara kimataifa kama vile British East India Company. Kwenye karne ya 18 yaani kuanzia 1750 walifanikisha Mapinduzi ya Viwanda. Hayo ni machache tu niliyoeleza. Kutulinganisha sisi na Waingereza ni kuwakosea heshima Waingereza.
 
Waingereza achana nao kabisa. Hao huwezi kuwalinganisha na sisi tofauti baina yetu ni sawa na mbingu na ardhi. Hao ardhi yao waliipima na kuithaminisha toka mwaka 1066 wakati wa uvamizi wa Normans takriban miaka elfu moja iliyopita. Sisi hadi leo tunaishi kwenye skwata kupima tu ardhi na kuboresha makazi yetu tunashindwa.
Huku wanasubiri hadi ujenge kwanza ndio wanakuja kukubomolea
 
Unafurahia hali hiyo ya London kutokana na aina ya watu wanaoishi huko.

Ikitokea watu wote wa London wakahamishiwa Dar na wa huku wakapelewa Ldn..baada ya miaka michache aliyeko London atatamani kurudi Dar.

Issue hapa sio eneo bali ni aina gani ya watu wanaoishi eneo husika.

Zimbabwe enzi hizo mji mkuu Harare ukiitwa Sulsbury(kama nimepatia), mji ulikuwa msafi kama miji mingine ya ulaya, lakini alipokabidhiwa mwafrika kila kitu kwishney.

Binadamu wote ni sawa kwa kula kunywa na kulala, lakini mengine ni tofauti kabisa...haswa ngozi nyeusi

ngozi nyeusi kwa kweli ni laana
 
Back
Top Bottom