Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Hawa ma bingwa 3 kwanza aliyepo kushoto anacheka na aliyepo kulia anaangalia hapati jibu kama watamaliza au ni lazima kukila chote au vip, maana wanaona ni mtihani kwao na hawajawahi kutana na kitu kama hicho isipokuwa ukweni, Bwana anayechumbia anaonyesha kuwa yeye ndiye muongoza mashambulizi maana anaelekeza cha kufanya. 😂