HII ORODHA YA WAPENZI NI PASUA KICHWA ISEE

Southern Highland

JF-Expert Member
Mar 22, 2017
13,187
21,522
Kama kichwa kinavyojieleza. Tushuke nao hapa.

*1. VIPWENTE* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anaweza Akakumiss Hadi Anahisi Network Zinakatika...Lakini Hakutafuti Ng'ooo Iwe Ni Kwa Message Au Laivulaivu, Kwasababu Hataki Kuonekana Wakwanza Kukutafuta._

*2. VIMBUNDU* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Hakuonyeshi Kama Yuko Deep Kwako Hata Kiduchu, Lakini Olewako Akuone Unaongea Na Kidemu/ Kiblazameni Kingine, "Kazi Mbona Unayo"....Hawa Huaga Wanapenda Ndani Kwandani Kama Meli Za Kivita._

*3. VISHOKOMZOBE -* _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Ukihesabu Muda Ambao Mmeanza Kuvunja Amri Ya Sita Yaani Tangu 2014 Mwezi Wakwanza Hadi Lao, Hajawahi Kukupa Hata Kijizawadi Japo Hata Pafyumu Ya Kurusumu._

*4. VINJUNJIO* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anakuonyesha Tabasamu Pale Tu Anapokabwa Na Ukame,_ _Mkishapandiliana Ukame Ukimuisha Hana Taimu._

*5. ATOMBILE* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anamichepuko Kama_ _6 Ivi...Lakini Ole Askie Kunamtu Anakunyemelea Wewe, Hio Vitayake Bora World War. Hawa Nao Wanapendaga Ndani Kwandani._

*6. VISHUMUNDU -* _Hawa Ninoma, Ni Aina Ya Wapenzi Ambao We Uwe Na Michepuko, Umpige, Umfungie Nje, Umfokee Kila Mda, Ukatae Kumtambulisha...Yeye Ndo Kwanza Anazidisha_ _Malavidavi...Fanya Ufanyao, Hakuachi Ng'ooo! (Ukikutana Na Wahivi Oa/ Olewa Fasta...Au Hadi Mungu Akwambie Laivu Kwamba Ye Ndo Kakuletea?)_
.
*7. MANDONYA -* _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi _Ambao Yeye Kukuvalisha Pete Sio Kazi Kwake, Tabu Kuoa! Atakuvisha Chuma Lake Utakaa Nalo 3Years, Mwisho_ _Wasiku Unaskia Kamuoa Ntombi Mwakipesile Wa Mtoni Kijichi._

*8. VIBINUZI* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Ukiwanae Muda Wote Anachati, Ukimuuliza Unachati Nanani? Kinawaka._

*9. KIBUMBUSWA -* _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Hipiti Siku_ _Hamjagombana. Yani Mnaweza Kwenda Kulala, Ukaweka Pozi La Kulala_ _Kiubavuubavu...Utashangaa Anakwambia,_ _"Yaani Mimi Sipendagi Ukilala Hivo Kwasababu Naota Ndoto_ _Mbayambaya"...Basi Tu Mradi Mgombane._

*10. VITUSU AMAZING* _- Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Mapenzi Yao_ _Yamepitiliza Yaani Nizaidi Ya Mapenzi Ya Mchepuko...Yeye Hata Ukijamba Utaskia,_ _"Pole Baby, Haujaumia?"_

Mimi wa kwangu ni #1. KIPWENTE so hanipi shida kwa kuwa nimeshamtambua.
..
*Kwani We Wako Aina Gani?*
 
Kama kichwa kinavyojieleza. Tushuke nao hapa.

*1. VIPWENTE* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anaweza Akakumiss Hadi Anahisi Network Zinakatika...Lakini Hakutafuti Ng'ooo Iwe Ni Kwa Message Au Laivulaivu, Kwasababu Hataki Kuonekana Wakwanza Kukutafuta._

*2. VIMBUNDU* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Hakuonyeshi Kama Yuko Deep Kwako Hata Kiduchu, Lakini Olewako Akuone Unaongea Na Kidemu/ Kiblazameni Kingine, "Kazi Mbona Unayo"....Hawa Huaga Wanapenda Ndani Kwandani Kama Meli Za Kivita._

*3. VISHOKOMZOBE -* _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Ukihesabu Muda Ambao Mmeanza Kuvunja Amri Ya Sita Yaani Tangu 2014 Mwezi Wakwanza Hadi Lao, Hajawahi Kukupa Hata Kijizawadi Japo Hata Pafyumu Ya Kurusumu._

*4. VINJUNJIO* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anakuonyesha Tabasamu Pale Tu Anapokabwa Na Ukame,_ _Mkishapandiliana Ukame Ukimuisha Hana Taimu._

*5. ATOMBILE* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anamichepuko Kama_ _6 Ivi...Lakini Ole Askie Kunamtu Anakunyemelea Wewe, Hio Vitayake Bora World War. Hawa Nao Wanapendaga Ndani Kwandani._

*6. VISHUMUNDU -* _Hawa Ninoma, Ni Aina Ya Wapenzi Ambao We Uwe Na Michepuko, Umpige, Umfungie Nje, Umfokee Kila Mda, Ukatae Kumtambulisha...Yeye Ndo Kwanza Anazidisha_ _Malavidavi...Fanya Ufanyao, Hakuachi Ng'ooo! (Ukikutana Na Wahivi Oa/ Olewa Fasta...Au Hadi Mungu Akwambie Laivu Kwamba Ye Ndo Kakuletea?)_
.
*7. MANDONYA -* _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi _Ambao Yeye Kukuvalisha Pete Sio Kazi Kwake, Tabu Kuoa! Atakuvisha Chuma Lake Utakaa Nalo 3Years, Mwisho_ _Wasiku Unaskia Kamuoa Ntombi Mwakipesile Wa Mtoni Kijichi._

*8. VIBINUZI* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Ukiwanae Muda Wote Anachati, Ukimuuliza Unachati Nanani? Kinawaka._

*9. KIBUMBUSWA -* _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Hipiti Siku_ _Hamjagombana. Yani Mnaweza Kwenda Kulala, Ukaweka Pozi La Kulala_ _Kiubavuubavu...Utashangaa Anakwambia,_ _"Yaani Mimi Sipendagi Ukilala Hivo Kwasababu Naota Ndoto_ _Mbayambaya"...Basi Tu Mradi Mgombane._

*10. VITUSU AMAZING* _- Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Mapenzi Yao_ _Yamepitiliza Yaani Nizaidi Ya Mapenzi Ya Mchepuko...Yeye Hata Ukijamba Utaskia,_ _"Pole Baby, Haujaumia?"_

Mimi wa kwangu ni #1. KIPWENTE so hanipi shida kwa kuwa nimeshamtambua.
..
*Kwani We Wako Aina Gani?*
 
Pale mwanaume wa mkoani anapokwenda dar akili ndio huwa ivo... "jokes tu mzee baba,"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom