Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
- Thread starter
- #41
Kwa standards za wakati huo tulijiweza, ukienda Timbuktu University kuna vitabu vya karne ya 14 vya utaalamu wa Afrika.Kwq hiyo unakubali kuwa Africa kabla mzungu,mwarabu etc hawajaja tulikuwa tunajiweza?
Ova
Kipindi chote tulicho pambana na utumwa wenzetu walijiendeleza zaidi kwa elimu, sayansi na teknolojia.
Unyonge wetu baada ya nguvu kazi kubwa kuchukuliwa utumwani kuliwarahisishia wakoloni kututawala. Agenda ya utawala ilikua moja tu, kuchota mali. Na hakuna aliyewaambia acha.
Baada ya miaka mingi ya kutawaliwa, tulipopata Uhuru , hatukuwa na skills za uwongozi. Meneja wa kampuni anafika kazini saa nne na saa sita amekwenda kula chakula kwakua yeye ndiye boss.