Maisha ya vigae ni guarantee miaka 100, vigae vya awali vita jua vimebadishwa.Kinachofanyika hapo inakarabatiwa na inapigwa rangi mpya lakini iliyochanywa kitaalam ionekane ni rangi ya zamani.
Ni kama mnavyocheza filamu ionekane ya zamani lakini imetengezwa mwaka huu.
Nadhani UNESCO wanahusika hapo.
Kinachofanyika ni kutunza shape na uhalisia.Maisha ya vigae ni guarantee miaka 100, vigae vya awali vita jua vimebadishwa.
Ndicho alicokiandika Walter Rodney kwenye Howa Europe Underdeveloped africa,: zamani nilikuwa naamini lakini nilipokua na kikomaa nikaona hizi nin0ropaganda tu!Kifupi kwa wasio elewa. Nyumba hiyo ina miaka 512 mpaka sasa
Ukisoma afrocentric wanadai eti miaka fulani afrika ilikuwa almost the same na huko europe kimaeneleo ilhali ukimulika kiundani watu walikuwa hawana hata vyoo vya kujisaidia.
Mohamed Said
Ustaarabu mkubwa wa Ulaya ulienezwa na dola ya Roma. Uajemi ni wajenzi wa asili na tangu BC walikua na majengo bora na visima vya kuchota na kamba.Ndicho alicokiandika Walter Rodney kwenye Howa Europe Underdeveloped africa,: zamani nilikuwa naamini lakini nilipokua na kikomaa nikaona hizi nin0ropaganda tu!
Kama Leo tunasaidi2a kujenga mayundu ya choo!
Tunatembelea Mavi Eight ' ilhali Hali iuna watu wanakunywa maji kwa ushirikaa na nyani nna mbuzi
Kunawatoto wana6embea Km 5+ kuifuataa shule!
Haya ni matusi kwa wazungu!
Haya majengo ya mbao Uingereza waliyabomoa mengi baada ya moto wa London Sunday 2, September 1666.Kinachofanyika ni kutunza shape na uhalisia.
Aliyekwenda london miaka 60 iliyopita ukimpeleka london leo wala hapotei na hakuna majengo mapya mapya.
Ila aliyetoka Dar miaka 60 iliyopita ukimleta leo Dar inabidi umuongoze
Mfano pale stone town Zanzibar yale majengo yanahitaji ukarabati bila kubadili muonekano na uhalisia wake.
Kilwa mji wa Kale mfano wake kulikuwa na majengo yenye vyoo na yamekuja kuvunjwa na Mreno kwa mizinga hadi leo magofu yake yana sehemu ya choo.Kifupi kwa wasio elewa. Nyumba hiyo ina miaka 512 mpaka sasa
Ukisoma afrocentric wanadai eti miaka fulani afrika ilikuwa almost the same na huko europe kimaeneleo ilhali ukimulika kiundani watu walikuwa hawana hata vyoo vya kujisaidia.
Mohamed Said
Nakubaliana na wewe kiasi fulani ila si sawa kusema eti tulikaribiana nao kimaendeleo au kiustaarabu. Tulikuwa wapi mpaka waje kuvamia na kuvunja dola zilizokuwa imara na zenye maendeleo unayoyasema?Kilwa mji wa Kale mfano wake kulikuwa na majengo yenye vyoo na yamekuja kuvunjwa na Mreno kwa mizinga hadi leo magofu yake yana sehemu ya choo.
Timbuktu kulikuwa na maendeleo makubwa karne ya 11 hata kabla ya hiyo Nyumba haijajengwa. Watu walimiliki vyoo, na majengo ya kila namna. Hadi kulikuwa na chuo kikuu Timbuktu.
Afrika ya magharibi kulikuwa na kiwanda kikubwa cha nguo chenye nguvu kuliko cha Manchester England.
Waliyosema Afrika ilikuwa sawa hawakusosea ni kweli, ila mambo yalibadilika kuanzia karne ya 15 walipoanza kumiminika wageni kutoka mataifa mbalimbali. Hao ndiyo waliharibu kila kitu na hata kuvunja majengo mengine ya kale. Ndiyo maana vitu vingine ushahidi hakuna kwasababu waliharibu kusudi. Mfano Kilwa kuvunjwa dola iliyoendelea hadi kumiliki sarafu yake, hivi sasa ni magofu tu
mm nadhani mababu zetu hawakuwa na uelewa wa kutoshaNakubaliana na wewe kiasi fulani ila si sawa kusema eti tulikaribiana nao kimaendeleo au kiustaarabu. Tulikuwa wapi mpaka waje kuvamia na kuvunja dola zilizokuwa imara na zenye maendeleo unayoyasema?
Sasa huwezi kujiita umeendelea kiasi cha ku compete na wenzako wakati huna uelewa wa kutosha kifupi gepu lilikuwa kubwa mno na pengine hatukuwahi kulingana nao hata nukta moja.mm nadhani mababu zetu hawakuwa na uelewa wa kutosha
kabisa ila ufahamu/uelewa ndo mzizi mkubwa wa maendeleo kama hakuna hicho basi panakuwa debe tuSasa huwezi kujiita umeendelea kiasi cha ku compete na wenzako wakati huna uelewa wa kutosha kifupi gepu lilikuwa kubwa mno na pengine hatukuwahi kulingana nao hata nukta moja.
Sasa huwezi kujiita umeendelea kiasi cha ku compete na wenzako wakati huna uelewa wa kutosha kifupi gepu lilikuwa kubwa mno na pengine hatukuwahi kulingana nao hata nukta moja.mm nadhani mababu zetu hawakuwa na uelewa wa kutosha
Upo sahihi kabisakabisa ila ufahamu/uelewa ndo mzizi mkubwa wa maendeleo kama hakuna hicho basi panakuwa debe tu
Kama wakina socrate na plato na wasomi wengi wakale waulaya wanaotajwa waasisi wa civilizationNakubaliana na wewe kiasi fulani ila si sawa kusema eti tulikaribiana nao kimaendeleo au kiustaarabu. Tulikuwa wapi mpaka waje kuvamia na kuvunja dola zilizokuwa imara na zenye maendeleo unayoyasema?
Wazungu sio wenzetu... Wa Africa wa kule Kaskazini ndio kidogo wana akili ila huku Kusini mwa Sahara hakuna kitu