SUKAH
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 1,562
- 1,667
Suala la ramani linahitaji uende kwa mpima ardhi, yeye ndo atakuandalia.Kutoka katika hiyo gps ya simu naweza pata ramani ili iwe ushaidi wakati wa mauziano??
SUKAH
Suala la ramani linahitaji uende kwa mpima ardhi, yeye ndo atakuandalia.Kutoka katika hiyo gps ya simu naweza pata ramani ili iwe ushaidi wakati wa mauziano??
Duh, mpima ardhi anadai kuandaa hiyo ranani nimpe 150,000/ sina hiyo pesa kama kuna njia nyingine naomba nishauri..... siwezi kutumia ms. Word kuandaa ramani???Suala la ramani linahitaji uende kwa mpima ardhi, yeye ndo atakuandalia.
SUKAH
Duuhh !!! Sijawai kulipa hizo gharama.Nilienda halmashauri nikaambiwa na savea....hiko kidude kukodi ni sh 100,000 kwa siku..... gharama za kuandaa ramani na kuprint 200,000 na gharama za mtaalm sh 150, 000/ jumla ya gharama kwa kaz yote 460, 000/= hapo usafiri juu yangu. Nikaondika sijarudi tena hadi leo
Ms word! Hapana mkuu. Hayo ni mambo ya kitaalamu, ongea vizuri na mpima akufanyie wepesi kidogo.Duh, mpima ardhi anadai kuandaa hiyo ranani nimpe 150,000/ sina hiyo pesa kama kuna njia nyingine naomba nishauri..... siwezi kutumia ms. Word kuandaa ramani???
Kwa kweli hiyo elaboration yako imeingia katikati ya ubongo wanguShukran sana mpima, tupo pamoja.
Hivi vipimo vya heka kuwa 4900 huwa vimekadiriwa katika vipimo vya yard² na sio m², ambapo hatua 1 ya mtu mzima hukadiriwa kuwa sawa na 1 yard.
Kwa hiyo heka 1 hukadiriwa kuwa hatua 70×70 ambayo ni sawa na 4900 yard².
Sasa watu wengine huchukua tape measure na kupima mita 70x70 badala ya yards, hapo sasa ndo makosa yanapoanza kuibuka.
SUKAH
Mk
Mkuu naku pm
Nilienda halmashauri nikaambiwa na savea....hiko kidude kukodi ni sh 100,000 kwa siku..... gharama za kuandaa ramani na kuprint 200,000 na gharama za mtaalm sh 150, 000/ jumla ya gharama kwa kaz yote 460, 000/= hapo usafiri juu yangu. Nikaondika sijarudi tena hadi leo
Duh, mpima ardhi anadai kuandaa hiyo ranani nimpe 150,000/ sina hiyo pesa kama kuna njia nyingine naomba nishauri..... siwezi kutumia ms. Word kuandaa ramani???
Ramani ulifanikisha Mkuu?Nilienda halmashauri nikaambiwa na savea....hiko kidude kukodi ni sh 100,000 kwa siku..... gharama za kuandaa ramani na kuprint 200,000 na gharama za mtaalm sh 150, 000/ jumla ya gharama kwa kaz yote 460, 000/= hapo usafiri juu yangu. Nikaondika sijarudi tena hadi leDa
Lakini hapo kwenye 4900m square sio sahihi kuwa ni kipimo cha ekaliHuwezi pata ukubwa wa eneo utaenda chaka vibaya mno.
Lets say ekari ni 70 kwa 70 meters mzingo 70+70+70+70=280
A=70×70=4900
Oky tupunguze meters 35 za upande mmoja tuongeze kwenye upande mwingine iwe 105 kwa 35 mzingo 105+105+35+35=280
A=105×35=3675
Unaona sasa maeneo mawili yenye mzingo sawa but ukubwa wa eneo unatofautiana
Chakufanya hilo eneo mlipime kwa kulikata vipande vipande
Kateni eneo kubwa la mraba, kisha vipande vinavyobakia hata kama ni pembe tatu pimeni hivyo hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app